Angekuwepo Hayati Magufuli bwawa la JNHP lingekamilika Juni 2022 na tungeanza kupata umeme kwa bei nafuu

Angekuwepo Hayati Magufuli bwawa la JNHP lingekamilika Juni 2022 na tungeanza kupata umeme kwa bei nafuu

Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.

Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.

Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Saivi ni mwendo wa vitenge
 
Nakumbuka kipande cha Gold Star pale walifukuzwa ma engineer pale cos yale mabams yakule juu yalitoa ufa ivo pakavunjwa pakarudiwa upya.

Kimsingi Magu alikuwa mtendaji hakuwa mwanasiasa mzuri, alikuwa mtu kazi suala la % kwa ile reli sehemu kubwa zilikuwa zimekamilika kwakweli ila sehemu muhimu zilikuwa bado na ata hivo fedha za ujenzi alikuwa anakamua kwenye bajeti ya ndani na ndiyo maana phase 1 imechelewa mno

Sent using Jamii Forums mobile app

..alikuwa mchapakazi.

..tatizo lake lilikuwa ubaguzi na ukatili.

..mtu asiyekuwa na ubinadamu hastahili nafasi ya uongozi.
 
Sio kweli, mkandarasi ndio alikuwa analalamika juu ya milima na hali ya hewa kumchelewesha.
Taja hiyo milima maana hicho kipande nakijua chote.. Wale waturuki kiwanja Chao weekend ilikuwa pale Samaki Samaki, walipokuwa na pesa tulijua na pesa ilipokata tulijua kwa sababu mbona wanasema??
 
Tafuta hela ili usitegemee umeme au rasilimali za serikali
 
Simpo: mhujumu januari aondoke ndo tunaweza kuchanga; na januari akiondoka wala hatutahitaji kuchanga!
Acheni kumuonea kamati imesema mambo Safi...
FB_IMG_1646653498892.jpg
 
Mimi naamini kuna mkakati maalumu uliopangwa ili kukwamisha ukamilishaji wa Bwawa. Ndiyo maana Medard Kalemani alitolewa nje ili kuufanyia kazi mkakati huo wa ovyo.

Tangu Medard Kalemani aondolewe kwenye uwaziri, mambo ya kishenzi yaliyojitokeza ni pamoja na:-
(1)Kufifisha juhudi za umaliziaji Bwawa na badala yake ni ngonjera za kihuni kila kukicha.
(2)Bei za umeme kupanda pamoja na umeme kukatika katika mara nyingi bila utaratibu tofauti kabisa na alipokuwepo JPM.
Kwa kifupi ni kwamba, watenda kazi wazuri katika Wizara wametolewa na wameletwa watu.
 
Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.

Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.

Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
There's new sheriff in town, get used to it or get lost.
 
Huu ndio ukweli uliofichwa kwa nguvu zote, vyombo vya habari vilidhitiwa, watu walitekwa, watu walibambikiwa kesi, uchaguzi uliporwa ili kuzuia ukweli huu kuwa wazi kwa umma. Na iwapo Mungu asingetenda yake tarehe 17 marchi 2021, saa hii hali ingekuwa mbaya zaidi.
Mungu anajua sana...

Yaani tulikuwa tunaelekea kubaya kweli kweli.Sipati picha eti hadi sasa tungekuwa tumebaki nae almost 3 years. Na staili ya viongozi kama hawa, namna pekee ya kuendelea kuficha madudu yao inakuwa ni kuendelea kubaki madarakani kwa miaka mingi zaidi!
 
Mbona SGR Sar -Morogoro ilitangazwa kiwa itakamilika Niv 2019 lakini hadi anafariki mwaka mmoja baadae ilikuwa haijakamilika?
Hana cha kujibu hapo zaidi ya matusi, manake ndicho pekee anachokijua!!
 
Nimekuambia nitakusugua mpaka ukojoe, we nishobokee.
Nimekuuliza:-

Sasa matusi ya nini dadangu?

NI frustration za kuondokewa na basha wako marehemu au watoto na mke halali wa marehemu wamekupa vitasa?

Anza na hayo maswali, kima wewe!!
 
Nakumbuka kipande cha Gold Star pale walifukuzwa ma engineer pale cos yale mabams yakule juu yalitoa ufa ivo pakavunjwa pakarudiwa upya.

Kimsingi Magu alikuwa mtendaji hakuwa mwanasiasa mzuri, alikuwa mtu kazi suala la % kwa ile reli sehemu kubwa zilikuwa zimekamilika kwakweli ila sehemu muhimu zilikuwa bado na ata hivo fedha za ujenzi alikuwa anakamua kwenye bajeti ya ndani na ndiyo maana phase 1 imechelewa mno

Sent using Jamii Forums mobile app
JPM hakuwa Mtendaji mzuri bali alikuwa a good administrator.

Kuwa Mtendaji mzuri kunahitaji utulivu wa kifikra... hivi JPM alivikosa!

Na kwavile alikuwa a very good administrator, kama Jakaya angemfanya JPM kuwa PM wake, basi serikali ya Mkwele ingefanya vizuri sana kwa sababu kitu kikubwa ambacho JK alikosa kwenye serikali yake ni usimamizi wa shughuli za serikali.

Hilo la SGR kukamua bajeti za ndani... man, ina maana mlikuwa hamfuatilii kabisa kilichokuwa kinaendelea?

Hapo juu nimeweka maelezo kuhusu Trade and Development Bank (TDB), Standard Chartered Bank, Credit Suisse na United Bank of Africa...

Benki zote hizo zilitoa mikopo kwa serikali, na pesa zilielekezwa kwenye SGR na JNHPP.

Na ukitoa TDB, zilizobaki zote ni commercial banks lakini bado watu tunaota kupata umeme wa bei nafuu kutoka JNHPP; sasa sijui hiyo mikopo italipwaje!!

Na hata hiyo TDB, sidhani kama terms zao kwetu zinaweza kuwa sana na nchi zingine za COMESA!
 
Jiwe......jiwe....jiwe....! Sipati picha angekuwa hai hadi sasa! Kweli Mungu fundi
 
..hata mimi kandarasi toka Egypt alinipa wasiwasi.

..pia naona Jpm aliweka " mayai yote kwenye kapu moja. "

..nilidhani busara ni kujenga miradi ya medium size ambayo in total ingekupa megawatts sawa na zinazozalishwa na mradi mmoja mkubwa.

..advantage ya miradi ambayo ni medium size ingekuwa ni uharaka wa kukamilisha ujenzi na kuingiza umeme ktk gridi ya taifa.
Tatizo Mjomba Magu kuna wakati alikosa ubunifu wa wakutumia wataalamu.hata Mto Kagera ungeweza kuzalisha umeme mwingi na nafuu kama ilivyo Hudson River ya New York Marekani kwa kutumia Current ya maji ya mto.Akaishia kukalili eti baba wa taifa alitaka hivi......
 
Binafsi siamini kama huo mradi utaisha hata baada ya mwaka 2025; kwa ufupi mradi huo hautakiwi na baadhi ya watu, kibaya ni kwamba wasio utaka ndio wameshikiria mpini wa KISU, uking'ang'ania tu wanavuta mpini halafu wewe unakatwa
 
Back
Top Bottom