Angekuwepo Hayati Magufuli bwawa la JNHP lingekamilika Juni 2022 na tungeanza kupata umeme kwa bei nafuu

Angekuwepo Hayati Magufuli bwawa la JNHP lingekamilika Juni 2022 na tungeanza kupata umeme kwa bei nafuu

..asante kwa majibu yako ambayo umeyatetea kwa USHAHIDI wa data na vielelezo toka vyanzo vya serikali.

..tatizo la vijana wengi tunaojadiliana nao hapa JF ni kuamini zaidi ktk propaganda za Ccm kuliko ukweli na uhalisia.
Hizo ni data za uhakika ? Acha basi kudanganya umma.
 
..source ya hizo data ni ofisi ya mdhibiti na mkaguzi wa mahesabu ya serikali, ndio maana nasema zimetoka ktk chanzo kinachoaminika, cha uhakika.
Hizo data ni za nini? Ndio ilikuwa final conclusive report? Au unadakia ushabiki?
 
Hizo data ni za nini? Ndio ilikuwa final conclusive report? Au unadakia ushabiki?

..badala ya kutufokea kwanini usilete hiyo final conclusive report?

..huu mradi ni wetu sote, na ukifanikiwa ni faida kwetu sote.

..kwa maana hiyo ni lazima Watz tuwe macho na kuudadisi wakati wote ili kuepusha kujengewa na kukabidhiwa mradi ulio chini ya viwango.
 
..badala ya kutufokea kwanini usilete hiyo final conclusive report?

..huu mradi ni wetu sote, na ukifanikiwa ni faida kwetu sote.

..kwa maana hiyo ni lazima Watz tuwe macho na kuudadisi wakati wote ili kuepusha kujengewa na kukabidhiwa mradi ulio chini ya viwango.
Nani kakufokea? Wewe una CAG anavyofanya kazi so usipelekwe na wapuuzi wachache wasio na uelewa.
 
Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.

Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.

Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Ndio maana mimi tarehe 17/03/2022 NITAKWENDA KAZINI na kuchapa kazi kwa bidii zaidi ya siku zote ili kumuenzi na kudumisha slogan yake ya "HAPA KAZI TU"!
 
Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.

Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.

Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Mradi unakwamishwa makusudi au?
 
Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.

Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.

Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Mbona SGR Sar -Morogoro ilitangazwa kiwa itakamilika Niv 2019 lakini hadi anafariki mwaka mmoja baadae ilikuwa haijakamilika?
 
Kwa akili yako mkandarasi ambaye halipwi au hana uhakika wa kulipwa angekaa site?

..kwanini mradi umechelewa?

..kwanini tunalipa mkandarasi anayechelewesha kazi?

..kumbe kuna UFISADI unaendelea huko, juu ya incompetency iliyoripotiwa.
 
Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.

Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.

Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Foolish
 
Badala ya kujibu unakimbilia kutoa lugha za ovyo...

Binafsi nishasema sana hapa kwamba JPM Administration ilijaa UONGO lakini tukaonekana tuna chuki!!

Ripoti ya CAG (Development Projects) ambayo ilitolewa wakati JPM akiwa hai ilieleza mengi kuhusu Bwawa la Nyerere! Na wakati huku mitaani mkidanganywa mambo ni bam bam, ukweli ni pamoja na ufuatao:-

View attachment 2143150

Wakati wewe ukiamini mipesa ipo tu kwa sababu ndivyo mlivyokuwa mnaambiwa, CAG alishindwa kuona bajeti for 2 consecutive financial years.

Bajeti ambayo CAG alithibitisha kuwepo ni kwa 2019/20 and 2020/2021 ambayo unaona hapo TOTAL ni takribani TZS 3 Trillion, wakati Project Cost ni takribani TZS 7 Trillion!

Now endelea kuamini JPM alishatenga matrilions za kumalizia huo mradi!!

Je, baada ya kazi kuanza... mambo yalienda mserereko kama mlivyokuwa mnaambiwa huku mitaani?!

Setback ya kwanza ilikuja baada ya TANESCO kumruhusu Contractor kujenga 1 Diversion Tunnel badala ya 2 kama ambavyo mkataba ulikuwa unase,a. Matokeo yake, iliponyesha mvua, na kutokea mafuriko maji yakapanda juu!

View attachment 2143174

Outcome: Project ika-delay kwa miezi 5
View attachment 2143173



Again, endelea kuamini kwamba angewepo JPM basi mradi ungekamilika by June 2022 wakati tayari setbacks zilishatokea tangu wakati akiwa hai huku mkiambiwa "mambo kama kawa"!!

Je, baada ya ku-delay for 5 months, ina maana mambo ndo yakaanza kwenda kwa mserereko?! CAG mnoko ambae solution yake ilikuwa kuto-renew mkataba wake anaendelea hapa chini"-
View attachment 2143181

E bhana eh!

Kumbe wakati watu wanasubiria kusherehekea Mwaka 2021, mradi ndo kwanza ulikuwa umefikia 28.61%... ikiwa ni delay ya takribani 7 months.

Hapa nakukumbusha tu kwamba, hadi JPM anakutwa umauti, kuna kila dalili mradi ulikuwa hujafikia hata 35% completion rate!!

Je, shughuli zingine zilikuwa zinaenda kwa kasi?!

Summary ya project implantation ni kama inavyoonekana hapa chini:-

View attachment 2143187

Kumbe hadi CAG anaingia mitamboni, kulikuwa na major project components kibao ambazo zilikuwa hata hazijaanza huku zikiwa zime-delay kwa miezi kadhaa! Kuanza kwa ujenzi wa Permanent Bridge kwa mfano, ilikuwa ime-delay kwa zaidi ya Siku 500... sasa yale ma-crane yanayotakiwa kuwekwa kwenye tunnels sijui yatapitia wapi!!

All in all, yote hayo huenda yasingekuwa big issue kama kungekuwa na pesa ya kutosha!! Na hata mwanzoni mambo yalianza kwenda fasta baada ya kuchukua syndicated loans from Trade Development Bank ($ 1 Billion) na Credit Suisse ($0.5 Billion)!

Na hii mikopo inakuja wakati tuna 2 major projects, kwahiyo kuna uwezekano mkubwa ikawa pesa inayopatikana inakuwa distributed kwenye hizo projects 2.

Mikopo mingine ambayo JPM alifanikiwa kuipata kabla hajafariki ni pamoja na mkopo wa $400 Million kutoka UBA.

Hapo ndipo tunarejea swali uliloulizwa na JokaKuu ambalo umejibu kirahisi mno... "mbona kipande cha SGR kutoka Dar to Moro tu, alishindwa kumaliza"?

Sasa endelea kusingizia Wakandarasi na akina Makamba wakati uhalisi ni kwamba, hata wakati JPM anaaga dunia, bado sehemu kubwa ilikuwa haijafanyika!!

Huu ndio ukweli uliofichwa kwa nguvu zote, vyombo vya habari vilidhitiwa, watu walitekwa, watu walibambikiwa kesi, uchaguzi uliporwa ili kuzuia ukweli huu kuwa wazi kwa umma. Na iwapo Mungu asingetenda yake tarehe 17 marchi 2021, saa hii hali ingekuwa mbaya zaidi.
 
Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.

Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.

Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Lakini waziri wa fedha anasema serikali ilikuwa imeishiwa pesa. Kwa hiyo msemo huo wa waziri ni uongo?
 
..sgr tangu mwaka juzi iko asilimia 95++.

..Jpm alikuwa mzuri sana ktk propaganda.
Nakumbuka kipande cha Gold Star pale walifukuzwa ma engineer pale cos yale mabams yakule juu yalitoa ufa ivo pakavunjwa pakarudiwa upya.

Kimsingi Magu alikuwa mtendaji hakuwa mwanasiasa mzuri, alikuwa mtu kazi suala la % kwa ile reli sehemu kubwa zilikuwa zimekamilika kwakweli ila sehemu muhimu zilikuwa bado na ata hivo fedha za ujenzi alikuwa anakamua kwenye bajeti ya ndani na ndiyo maana phase 1 imechelewa mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka kipande cha Gold Star pale walifukuzwa ma engineer pale cos yale mabams yakule juu yalitoa ufa ivo pakavunjwa pakarudiwa upya.

Kimsingi Magu alikuwa mtendaji hakuwa mwanasiasa mzuri, alikuwa mtu kazi suala la % kwa ile reli sehemu kubwa zilikuwa zimekamilika kwakweli ila sehemu muhimu zilikuwa bado na ata hivo fedha za ujenzi alikuwa anakamua kwenye bajeti ya ndani na ndiyo maana phase 1 imechelewa mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpinzire hujui kitu bali ni mhanga w uwongo wa Mwendazake tu. Pesa za ndani alikuwa anawadanganya wajinga tu.
 
Back
Top Bottom