Angel Benard aolewa mara ya pili

nashukuru mzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2017
Posts
1,014
Reaction score
1,903
Habari,

Msanii Angel Bernard ameolewa kwa mara ya pili.

Mara ya kwanza aliolewa na Producer wa Nyimbo za Injili Godsave Sakafu.


Angel akiwa na Godsave Sakafu siku ya Sendoff yake Julai 2015

Picha zake na mume wake mpya hizi hapa:-



Kulikoni wanamuziki wa nyimbo za injili wa kike?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…