Ndoa yake ya awaliView attachment 2608993
Ila kimaadili anatufundisha nini? Hasa kwa mziki anaoimba?She is beautiful soul, tuangalie kazi zake zilizofanya tukamjua! Personal life tutamhukumu bure bila kuwa na facts.
Ila huyu dada naye ana tatizo.TUsimhukumu kwa kigezo cha utumishi wake,what if mwenye shida alikua huyo mume?ina maana alipaswa aendelee kuvumilia maumivu kwasababu yeye mlokole?mlokole hana moyo?hana hisia?au walokole wamewekea some sort of bullet proof kwenye mioyo yao?
why people are always negative?
As long as anaishi she deserves a husband kuliko kuwa mzinifu,acheni negative thinking au ndo nyie mkioa walokole mnawatesa mkijua talaka hakuna?smh
Sema ndo wote hatujui ukweli ni upiIla huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
Tusimhukumu hatujui yaliyomo🙏She is beautiful soul, tuangalie kazi zake zilizofanya tukamjua! Personal life tutamhukumu bure bila kuwa na facts.
TUsimhukumu kwa kigezo cha utumishi wake,what if mwenye shida alikua huyo mume?ina maana alipaswa aendelee kuvumilia maumivu kwasababu yeye mlokole?mlokole hana moyo?hana hisia?au walokole wamewekea some sort of bullet proof kwenye mioyo yao?
why people are always negative?
As long as anaishi she deserves a husband kuliko kuwa mzinifu,acheni negative thinking au ndo nyie mkioa walokole mnawatesa mkijua talaka hakuna?smh
Shaboka yule mme wake rose?Ila huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
Is he truly the army guy au mavazi tu ya harusi?
Asante kwakuulkza hivi maana nami nilitaka niulize, alafu ni muimba gospel sasaWakristo hatuna ndoa mbili,
Vip mume wa kwanza alikufa?
Huyo huyoShaboka yule mme wake rose?