Ndiyo hivyo..Duuh...ila yule kaka huwa nahisi ana umri mdogo kuliko huyo rose
Ila wewe[emoji23][emoji23][emoji12]Hongera classmate
Hapo sasaWakristo hatuna ndoa mbili,
Vip mume wa kwanza alikufa?
Alizaa naye mtoto, itakuwa huyo wa USA ndio kamu overtake jamaaNdoa yake ya awaliView attachment 2608993
Na huyu mume wa mwisho alizaa naye mtoto mmoja atakuwa na marry and remarry spiritsIla huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
Duh....shaboka??.aiseIla huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
Bado Anatafuta Type Yake, Atachakaa SasaNa huyu mume wa mwisho alizaa naye mtoto mmoja atakuwa na marry and remarry spirits
Kumbe uliwahi ishi SakinaNgoja nikae hapa nione mnavyomshambulia jirani yangu wa zamani 🤣🤣🤣🤣
Mitara Kaitoa Wapi Angel Bernard Ama Anaupiga MwingiWakristo hatuna ndoa mbili,
Vip mume wa kwanza alikufa?
Alizaa naye kipind kipi?? Maana rose nadhan wana watoto wa4 wakubwa kubwa .duh...aiseHuyo huyo
Kamatia ChiniUtamu wa Yesu
Kosa Sura Pata ZegembeNdoa yake ya awaliView attachment 2608993
Mie naona mkewe kamfunika sana sanaDuuh...ila yule kaka huwa nahisi ana umri mdogo kuliko huyo rose
Anakaribia kufikisha watoto watano na wanaume tofauti tofauti.Bado Anatafuta Type Yake, Atachakaa Sasa
Rose na Shaboka wana watoto watatu...Alizaa naye kipind kipi?? Maana rose nadhan wana watoto wa4 wakubwa kubwa .duh...aise
Huyu Nick wakati anazaa na Angel, tayari alikuwa na mkewe Rose? Duh kama alikuwa tayari kaoa hawa the so called watumishi ni uzushi mtupu.Huyu angel si alizaaga na nick shaboka then akaolewa na huyo producer Kuna kipindi nilimwona yuko USA loh
Hapana....walikuwa hawajaona na Rose..Huyu Nick wakati anazaa na Angel,tayari alikuwa na mkewe Rose ?Duh kama alikuwa tayari kaoa hawa the so called watumishi ni uzushi mtupu.