Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Ni zaidi ya uzushi aiseHuyu Nick wakati anazaa na Angel,tayari alikuwa na mkewe Rose ?Duh kama alikuwa tayari kaoa hawa the so called watumishi ni uzushi mtupu.
Kwa kasi ya uolewaji afyatue afikishe kumi kabisa, tanzania chakula kipo na elimu ni bure, inaonekana kuolewa kwake ni kipaumbele sana sana.Anakaribia kufikisha watoto watano na wanaume tofauti tofauti.
Ila kabla ya kuwa mwimbaji wa gospel alianzaga kwanza na bongo flavor ila haikumtoa ndio akaingia gospel
Ulitaka azini!!?? Chuki na roho mbaya vitawaua.Beautiful ya kuolewa Mara mbili
Hivi wewe hua upoje? Kila comment yako mie nachekaga sanaππππKwa Kasi Ya Uolewaji Afyatue Afikishe Kumi Kabisa, Tanzania Chakula Kipo Na Elimu Ni Bure, Inaonekana Kuolewa Kwake Ni Kipaumbele Sana Sana
Muda Huu Ameshafunga Ndoa Pia Anajiandaa Kuachika Ili Aolewe Tena
Amejipanga
Anatufundisha kutozini.Il
Ila kimaadili anatufundisha nini?? Hasa kwa mziki anaoimba??
demba ba.. vp bado unasakata kabumbu?Itakuwa ya kwanza haiku "work out"
Itakuwa before hajaoa kwenye hizi harakati zao za makongomano ya injili huko ma vyuoni. Hata Rose kabla ya kuolewa naye Nick walikuwa wanamgombania wanawake I think rose ndio akamu winHuyu Nick wakati anazaa na Angel,tayari alikuwa na mkewe Rose ?Duh kama alikuwa tayari kaoa hawa the so called watumishi ni uzushi mtupu.
Ila Rose ni mtu age imeenda kuliko Angel.Au Rose basi alichelewa kuolewa.Hapana....walikuwa hawajaona na Rose..
Angel ndiyo alianza then Rose...
Rose kapandana sana Hadi Kwa kupigana kisa nick I think no love vile wamekuwa business partner na huyo nick anabebwa na mkewe tu.Hapana....walikuwa hawajaona na Rose..
Angel ndiyo alianza then Rose...
[emoji28][emoji28] dada yuko vizuri ila sio mubinafsi anazaa zake watoto Kwa Hilo nimpongeze Kwa kweliKwa Kasi Ya Uolewaji Afyatue Afikishe Kumi Kabisa, Tanzania Chakula Kipo Na Elimu Ni Bure, Inaonekana Kuolewa Kwake Ni Kipaumbele Sana Sana
Muda Huu Ameshafunga Ndoa Pia Anajiandaa Kuachika Ili Aolewe Tena
Amejipanga
Iko hivyo hata ukiangalia....Ila Rose ni mtu age imeenda kuliko Angel.Au Rose basi alichelewa kuolewa.
ππ ππππAnakula Anashiba Atakuwa Anatokea Mbeya, Kigoma Ambako Kuzaa NiKazi Na Anajituma Sana Anafaa Hata Jiwe Angekuwepo Angempogeza Kuzaa Chap Chap[emoji28][emoji28] dada yuko vizuri ila sio mubinafsi anazaa zake watoto Kwa Hilo nimpongeze Kwa kweli
Nilisikia Rose alikuwa anapigana huyo kisa Nick Shaboka[emoji2]Rose kapandana sana Hadi Kwa kupigana kisa nick I think no love vile wamekuwa business partner na huyo nick anabebwa na mkewe tu.
[emoji4][emoji28] rose kapambana sana Hadi kuolewa pale I think angel bernad licha ya kuzaa akaona hapo Kwa rose shaboka watauana wallah [emoji28][emoji28]Nilisikia Rose alikuwa anapigana huyo kisa Nick Shaboka[emoji2]
Rose ndiyo kama anatambulika sana kwenye huduma yao....
Waimbaji wa Gospel wengi nimeona wanafanya hivi..Asante kwakuulkza hivi maana nami nilitaka niulize, alafu ni muimba gospel sasa
[emoji28][emoji28][emoji28]umejuaje angel anatokea Mbeya kumbe kuzaa Huwa ni kazi kama kazi nyingine[emoji23][emoji28][emoji1][emoji16][emoji38][emoji38]Anakula Anashiba Atakuwa Anatokea Mbeya, Kigoma Ambako Kuzaa NiKazi Na Anajituma Sana Anafaa Hata Jiwe Angekuwepo Angempogeza Kuzaa Chap Chap
Ni Kazi Mkuu[emoji28][emoji28][emoji28]umejuaje angel anatokea Mbeya kumbe kuzaa Huwa ni kazi kama kazi nyingine
π πππππ ππππππ ππππππππ π π πMakubwa Hayasasa wewe umeaumua kumwani huyu caritha ndio anawashikaga miguu hao wadada wakiwa chumbani na hyo aliyemtaja ?