Angela Damas

Angela Damas

Hawa ma Fanta au 0.5 huwa wanapendwa sana upande wa mama zao.

Inatosha BOSS wa kitengo alichoalikwa alifahamu hili basi unaweza kukuta hata mwaliko uliandikwa kuwa "awe anaongea Ki-Ukraine" na Kiswahili ambapo kwa Tanzania ni wachache sana.

Katoto ka Kiev kamekaa safi sana na hasa kanapoanza kupata umbo la Mwanamke na si KASICHANA.
 
mbona kuna a lot of mulato women siku hizi tanzania cuppilicious eeh pesa yako tuu!>....unakuwa light in less than a week....

You damn right cuppilicious!...ndiyo maana hufurukuti hapa yeah~!...

Hahahahahahaaaa...mulatto wa mkorogo...no Cuppy. I'm happy with you...my scrumptuous nubian queen...
 
U sick, I'm glad at least you got religion sasa .Im talking about the brush with the likes of Al Capone.Umerudi kwenye form?

Bluray i have been religious for a while....ila sema ndiyo hivyo back and forth...basi ngoja nikupe story moja when i wa sin high school niliokata shauri then nikaona wananibana sana hakuna hata kusema hi kwa mwanaume ambaye hajaokoka ikabidi nijiengue....kisa cha kukata shauri ni kwa sababu tulikuwa tunapata opportunity za kutoka nje ya shule everysunday kwenda kanisani..kilichonishinda ni kwamba kufika kanisani watu wananena kwa lugha na miye sijui nikawa najaribu kuji pinch ili niweze na mimi kulia na kunena kwa lugha.....

nikaamua kurudi uraiani na kanisa likanitenga...nikaona isiwe hatari kwanza maendeleo yangu darasani yalikuwa yanafifia wao wanasema usali tuu na mungu atakuaidia mungu atakusaidiaje kama hujisaidii mwenyewe?....
 
Bluray i have been religious for a while....ila sema ndiyo hivyo back and forth...basi ngoja nikupe story moja when i wa sin high school niliokata shauri then nikaona wananibana sana hakuna hata kusema hi kwa mwanaume ambaye hajaokoka ikabidi nijiengue....kisa cha kukata shauri ni kwa sababu tulikuwa tunapata opportunity za kutoka nje ya shule everysunday kwenda kanisani..kilichonishinda ni kwamba kufika kanisani watu wananena kwa lugha na miye sijui nikawa najaribu kuji pinch ili niweze na mimi kulia na kunena kwa lugha.....

nikaamua kurudi uraiani na kanisa likanitenga...nikaona isiwe hatari kwanza maendeleo yangu darasani yalikuwa yanafifia wao wanasema usali tuu na mungu atakuaidia mungu atakusaidiaje kama hujisaidii mwenyewe?....

Hahahaha, umezibuka kuliko nilivyofikiri!

Yaani unakata shauri ili kutoka nje ya shule, we kiboko.

By the way wale wote wanaonena kwa lugha wasanii tu, na wewe ungeunganisha tu "harararmashakarrraarara habarundamananana"

Unapeta tu, hamna anayejua anaongea nini, sembuse kujua mwenzake anaongea nini.After all ni karama ya bwana tu.
 
Hahahahahahaaaa...mulatto wa mkorogo...no Cuppy. I'm happy with you...my scrumptuous nubian queen...


cuppy sema taratibu wakikusikia wenyewe utakoma kuringa wana spend a lot of money for that you know...na hii yote watu kutaka ku look kama Angela damas ni because of you guys mnakimbilia watoto weupe na mnaacha siye cheusi mangara.....

you sre so sweet cuppy mwaaah!....
 
Hahahaha, umezibuka kuliko nilivyofikiri!

Yaani unakata shauri ili kutoka nje ya shule, we kiboko.

By the way wale wote wanaonena kwa lugha wasanii tu, na wewe ungeunganisha tu "harararmashakarrraarara habarundamananana"

Unapeta tu, hamna anayejua anaongea nini, sembuse kujua mwenzake anaongea nini.After all ni karama ya bwana tu.


yeah nilikuwa sijatulia miaka hiyo ila i have decided to follow jesus!....so zile zama zote nilizofanya zamani nimeshatubu...I am so clean that is why i say i live,i ride i am Binti maringo aka the saint....

Nimeshakuwa sister do aka check sister,tom boy nimedandia sana madaladala enzi za primary school ila sasa hivi uniambie niadandia daladala hata kwa fimbo sikubali...

yeah hivi wale watu wanavyoanza kunena kwa lugha aisee wanachukua msaa na msaaa na sijui wanaongea nini hivi huwa wanafundishwa au?maana nilijaribu sana na mimi kunena nikashindwa nikajua lazima uwe na mapepo.


Wheeeeew!!! I finally got it. It took almost the whole damn day to get it. You made my day babe....

Get ready....we are going to Fogo de chao tonite....



hahahaha i knew you will say that!.....yipeeeeeee fogo de chao it is hon...my fav restaurante! hahahahah...
 
YE analea jamani eeh!.....how is my lil man doing eeh.....new year nakuja hang naye no doubt!....

Karibu sana....SAINT.
Acha kunizeesha, i only said she is fine.
Ya coming for the champagneball? Get ya dancing shoes ready...lol
 
Karibu sana....SAINT.
Acha kunizeesha, i only said she is fine.
Ya coming for the champagneball? Get ya dancing shoes ready...lol


Yeah nimepata mwaliko rasmi!...sikuzeeshi jirani ila ni fact!...

inabidi upige zile old skool zako "makumbele nimevumilia mengi"!...
 
Kafanya nini mdada wa watu? Au ndio hivyo tena vya kujadili hakuna, kilichobaki kutafuta udaku!!!
 
Kafanya nini mdada wa watu? Au ndio hivyo tena vya kujadili hakuna, kilichobaki kutafuta udaku!!!

GT anatafuta jiko -oops, mke-, anataka watu wamfanyie vetting.
 
GT anatafuta jiko -oops, mke-, anataka watu wamfanyie vetting.


Kumbe GT anatafuta mke?....Kuna aligble bacherollete kibao nitampa list ashindwe yeye tuu

1- Emalda Mwamanga - tena ameshinda women achivement award juzi tuu very class lady and a husstler

2-Asha Bushiri- A business woman but not a mogul yet.

3- Irene Kiwia...classy and sophicated

4- Fiose malangalila - hot and sexy and classy too

5-Mercy malakasuka - business woman

6- sofia Upunda - educated MBA Holder (looking fo job)

7-Mwanamkuu Ibrahim - enterprenuer
 
Who's that?


hahahaha now i know how much nakujua cuppy...I knew katika majina yoooote hili ndiyo utalijia na question mark!....since ukishalisikia tuu unapatwa na goose bump....mwanaume mshenzi weyeeee! yooh.
 
hahahaha now i know how much nakujua cuppy...I knew katika majina yoooote hili ndiyo utalijia na question mark!....since ukishalisikia tuu unapatwa na goose bump....mwanaume mshenzi weyeeee! yooh.

Shut up Cuppy...lol
 
Back
Top Bottom