Angelica Zambrano: Binti kutokea Ecuador aliyeenda Mbinguni na Kuzimu

[emoji28][emoji28]dini Ni ugonjwa wa akili
 
Huu ndio ukweli na nitaufuata
 
Reactions: I M
Huu ndo ukweli na mwenye masikio na asikie.kuhusu mahusiano ya papa na ushetani kila mtu anaona ni kwa namna gani anasapoti ndoa ya jinsia moja na mambo mengi machafu yanafanywa na watu wa papa.
 
Changamoto ya afya ya akili ipo..
 
Kwanini huko kuzimu hujapelekwa ww?

Acheni kudanganya watu halafu mtu huyu atajisifu kua mm nina degree 3 halafu kumkichwa ni mtupu
 

Nakubaliana na ulichokiandika Mkuu.

Hapo pa kwenda kuzimu na mbinguni ndio ukakasi unapoanzia. Elijah mtishbi alitwaliwa na gari la moto akaenda zake mbinguni na hajawahi kurudi ( Kwa mujibu wa Biblia).

Mambo yote aliyoyaongelea ya kutubu na kumwamini Yesu yapo wazi na hayahitaji mtu kutoka mbinguni na kuzimu ayashuhudie.
 
Hizi taarifa ni ngumu sana kuweza kuzidhibitisha maana dunia ya leo matapeli wa kiimani ni wengi mno

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwa Selena sijaelewa. Selena amekufa? maana yuko duniani au anaungua huko hell na bado anaishi duniani?
 
Mkuu kama kawaida 100% Ai Kwani boss huwezi kutumia Akili zako kuandika au Kusummerise naona unamatumizi mengi sana Ya akili bandia yatakuharibu..
100% ChatGpt summerisation
 
Kwani mbinguni ni wapi???
Hilo ndo swali la kwanza ukilijibh tutajua alimaanisha ninu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…