Angelica Zambrano: Binti kutokea Ecuador aliyeenda Mbinguni na Kuzimu

Sahihi, mahala pa kutumia dk kadhaa kupata key mainpont unatumia sekunde na unaendelea namaswala mengine.

Think positively, don't take it too seriously.
Yeah nimekuchangamsha tu mkuu It woz funny Intended...
Na umefafanua vizuri na ndo comments ilonipa mwanga kujua kazungumza nini vinginevyo nisingeweza kusoma kurasa 2000+
 
Acha upuuzi bro, hizo ni story za kufikirika tu, kama ilivyokuwa story ya babu wa loliondo, na upuuzi mwingine, hata ile ya watoto wa fatma(mji), waliotokewa na bikira maria!
Mbona hatokei kwa wengine? Au hawapo "wema"
 
Pasina shaka maneno au angell anaweza kuwa mkweri tatizo lipo hapaaa...... Ngoja nakuja na tatizo
 
Uzi mzuri...
 
Kwann kila anae Enda Mbinguni anawaona Eliya, Musa na Ibrahimu tuu??

Nabii Isaya Hajawahi kuonekana

Petro bila bila

Yohana Bilabila

Mitume wa Kwenye Agano Jipya za Kichwaa


Eliya, Musa na Ibrahim hatukuwahi kuwaona ila wenyewe wakifika Mbinguni wanawatambua bila Kutambulishwaa 😂😂😂
 
Ajaabu kweli!!
 
Ha ha ha......[emoji2]
 
Story za kijinga km hizi zinaletwaga hapa na wagalatia tu.
Yaani hawana uhakika na imani yao mpk waweke story za Chombeza time.
🤣🤣🤣

Yaani ovyo kabisa.
Kesho nikileta mzungu hapa Bongo akadai alikunywa Chai na Yesu tutakusanya hela mpk basi.

Ngoja nijipange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…