Upo sahihi kwa upande wako wewe suala sio kucheka, ila kwa upande wangu mimi suala ni kucheka.
Ningeandika, uzi wa 2013 unapongeza leo! Nimecheka sana ungekuwa sahihi kabisa kuuliza kilichonistaajabisha. Sikuandika ivyo kwasababu mkazo wangu upo kwenye kucheka. Na kwa bahati mbaya hakuna alama inayowakilisha kucheka kwenye uandishi imebidi nikuandikie kwa maneno kuwa nimecheka sana ila bado huelewi.
Suala la kufahamu au kutofahamu kuwa uzi ni wakitambo hilo sijakuuliza sioni kama kuna haja ya kulizungumzia. Ni kweli wewe ndie uliuzimua uzi hilo sijabisha nalo halina mantiki kulizungumzia.
Hakuna cha ajabu nilichokiona, na kwa kutumia akili ndogo tu haiwezekani nione kitu cha ajabu halafu nikacheka sana.
Sent using
Jamii Forums mobile app