Hizi mishe ndiyo huwa zinanifanya nawependa sana walokole na waislamu!
Ukishakuwa mlokole ukipatwa na janga kwenye familia haijalishi aliyefariki kama alikuwa alikuwa anadhuria au la watakupa sapoti ya kutosha
Hata wenzetu waislamu wako njema sana kwenye suala la kuzikana
Dini yangu ya katoliki ni kutishiana kwenye shida tu mara hutazikwa mara watoto wako hawatabatizwa!
Ila ajabu kabisa pesa na michango ya yule hajabatizwa huwa hawakatai!
Ukishakuwa mlokole ukipatwa na janga kwenye familia haijalishi aliyefariki kama alikuwa alikuwa anadhuria au la watakupa sapoti ya kutosha
Hata wenzetu waislamu wako njema sana kwenye suala la kuzikana
Dini yangu ya katoliki ni kutishiana kwenye shida tu mara hutazikwa mara watoto wako hawatabatizwa!
Ila ajabu kabisa pesa na michango ya yule hajabatizwa huwa hawakatai!