Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata siku moja usishabikie Nigeria. Wale ni sawa na Mafia (kama Chelsick teh teh teh) wakipata mpunga kwenye betting mambo kwishnei. Si unakumbuka hata ile World cup waliyocheza mara ya mwisho walikuwa na timu nzuri tu lakini hakuna walichofanya.
Timu za Africa kwenye world cup zenye heshima ni mbili tu Cameron na Algeria hao iko heka heka. Hata Pharaohs ni kazi bure tu onea buji.
Jaribu kuwa mwana soka wa kisasa bana, una boa sana mtu wangu.
Goal!
Cameroon0 gabon1
I think mara ya kwanza inatokea hi mtu na mjomba wake kucheza kwenye national team pamoja.......Song's Cameroon....
Shukran mkuu lakini wahuni wanaongea cha kwao tu.
Hata hivyo itd cool.
Asante once again.