Angola 2010: Africa Cup of Nations updates


Utafikiri kaambiwa na Caf lazima Egypt wapite leo.......mana haiwezekani waisiende world cup na Africa cup wasichukuwe pia......Mana kabla ya hapoAlgeria walikuwa wanacheza uzuri sana....
 
Na pia penalty ilivyopigwa ilifaa kurudiwa.
 
Utafikiri kaambiwa na Caf lazima Egypt wapite leo.......mana haiwezekani waisiende world cup na Africa cup wasichukuwe pia......Mana kabla ya hapoAlgeria walikuwa wanacheza uzuri sana....

Huyu Mr. Koffi aliwahi kuwa refa bora Africa. Kavimba kichwa
 
Hata kama ungekuwa wewe kwa jinsi ref alivyofanya vile usingechukia?

sasa wewe umechukia nini bana? ...nakukumbusha Ronaldo ni mmoja wapo anayefanya hivyo na anaachiwa...

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=FElw3LXXj8s[/ame]​

...halafu huyo Helliche ni matokeo ya 2nd yellow ndio maana akapata Red, au umesahau alishapata 1st yellow?

Msiende kulala bana, tupo wengi tu tunaoiombea dua Algeria, dkk45 kipindi cha pili kitakuja na mambo yake, msisubirie kuhadithiwa kesho asb kwenye 'power breakfast'...
 
Khe khe khe nani anabebwa hapa Algeria au Misri. Kazi kweli kweli naona waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba. Huu uonevu hata penalty unasubiri golikipa aanguke ndio upige? Khe khe khe khe
 
...dah, kipa wa Algeria kampiga kichwa refa? ama kweli...! bahati yake kaambulia yellow card tu.

hawana adabu kumbe hawa?

Ningekuwa mimi ningempiga Upper cut kabisa,mpuuzi sana huyu refa,keshaharibu mchezo maana anaonesha mahaba ya wazi kwa Wamisri
 
Mosquitoe ukiacha majani unaakili sana! teh teh teh teh asante sana kunikumbusha huu mdoli!


 




Piga ua hadi kijulikane. Sasa ile headbutt refa ataitolea report?
 
Khe khe khe nani anabebwa hapa Algeria au Misri. Kazi kweli kweli naona waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba. Huu uonevu hata penalty unasubiri golikipa aanguke ndio upige? Khe khe khe khe

Mkuu tunakuhitaji kule kwenye jukwaa la Arsenal,kuna watu wanachafua hali ya hewa kule jukwaani
 
Mkuu tunakuhitaji kule kwenye jukwaa la Arsenal,kuna watu wanachafua hali ya hewa kule jukwaani


Nani hao nafahamu kuna kikojozi haishi kujiloweka na peasant moja nilimpeleka shamba kulima.
 
Mosquitoe ukiacha majani unaakili sana! teh teh teh teh asante sana kunikumbusha huu mdoli!

...ahha aahaaahaaa... unaanza sasa!...haya bana.

Mimi nawapigia dua Algeria hapa leo lakini ndio hivyo tena,
miti inateleza...

😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…