Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Bolini acha kuboa hapa!Miafrika ndivyo tulivyo huyu ref hajafata sheria 17 za mpira naona kama vile kapewa maelekezo kabla ya kuingia uwanjani,hii machi imepangwa na matokeo yamekwisha julikana tayari.