Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 24
Utabiri wa kesho vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wazee mbona kuna confusion huku street? kati ya Mali na Algeria nani anastahili kupita?
Today Game
Borkina Faso VS Ghana...
Ghana lazima ashinde leo ndio afike second round
Huyu Number 13 wa Ghana Ayew ndio mtoto wa Abidi Pele au?
Huyu Number 13 wa Ghana Ayew ndio mtoto wa Abidi Pele au?
Hivi wakuu ktk lugha ya kimpira UNDER 20 team inakua pia na wachezaji wa miaka 20? Au ni kuanzia 19 na kushuka chini.
Msaada hapo tafadhalini!
Hivi wakuu ktk lugha ya kimpira UNDER 20 team inakua pia na wachezaji wa miaka 20? Au ni kuanzia 19 na kushuka chini.
Msaada hapo tafadhalini!