Angola 2010: Africa Cup of Nations updates

Angola 2010: Africa Cup of Nations updates

Hehehe thread za nyuma kuna mtu alisema Egypt siku zote uwa wanapendelewa, kitu ambacho kina ukweli ndani yake.
 
Huyu ref anatoa red kwa kipa wa Algeria this is to much

...Umeamini sasa?

...discipline mbovu hawa Algerians, ukweli ndio huo. Halafu ndio wawakilishi wetu world Cup,...aaarrghhh!

Egypt sasa wanaona hata haya kuwaongezea magoli... wakitaka hawashindwi!
 
Kwa nini hawa wachezaji Waarabu hawafugi ndevu ndefu kama Osama bin Laden?! Au wao hawataki suna/thawabu?!!
 
Hehehe thread za nyuma kuna mtu alisema Egypt siku zote uwa wanapendelewa, kitu ambacho kina ukweli ndani yake.

Egypt wanapendelewa na Refa huyu(eti ndo Collina wa CAF huyu) kauharibu mchezo wa leo,anaonesha mahaba ya wazi ka Wamisri..We fikiria 3 red cards!!!!!OMG
 
...Umeamini sasa?

...discipline mbovu hawa Algerians, ukweli ndio huo. Halafu ndio wawakilishi wetu world Cup,...aaarrghhh!

Egypt sasa wanaona hata haya kuwaongezea magoli... wakitaka hawashindwi!

Mkuu..Egypt Vs Algeria ni zaidi ya Soka,suala la nidhamu huwa lawekwa pembeni hapa...Sema leo Egypt wamewawin Algeria Kisaikolojia
 
Khe khe mkuu waamuzi huchaguliwa kuchezesha mechi flani flani. Hili lipo kwa timu kadhaa. Chunguza marefa wanaochezesha mechi za Misri kuanzia kwenye vilabu nk.

Egypt wanahonga mechi zao sana tu si ndio kwenye makao makuu ya CAF.

Mkuu utakumbuka qualification za world cup walipocheza na Zimbabwe ile mechi ya cairo ilibidi ichezwe neutral ground. Subiri utakuja kubali maneno yangu.

Egypt wanapendelewa na Refa huyu(eti ndo Collina wa CAF huyu) kauharibu mchezo wa leo,anaonesha mahaba ya wazi ka Wamisri..We fikiria 3 red cards!!!!!OMG

Ndio marefa wa CAF hao. Tungoje kwenye fainali sijui wamempa refa gani?
 
Egypt linapokuja suala la AFCON ni wazuri na huwaga hawana mpinzani ila kwenye WC ndo wanakuwa mdebwedo(wanasikia kwenye bomba tu),wanaumia sana kuona rivals wao Algeria wanashiriki(tena wamepata nafai kwa kupitia mgongoni kwao),,,Naona leo Egypt waliamua kumaliza hasira zao zote za kumiss WC Bondeni
 
Mkuu..Egypt Vs Algeria ni zaidi ya Soka,suala la nidhamu huwa lawekwa pembeni hapa...Sema leo Egypt wamewawin Algeria Kisaikolojia


...si ndio!

psychological advantage ni kitu kingine kabisa,...yale yale ya Manure na Man Citeh jana,...

Ndio maana wenzetu kwenye teams wanaye mpaka psychologist kuwapa morale wachezaji...

...haya, ngoja tuangalie yatayojiri jumapili sasa... kila nilichokishabikia wiki mbili hizi kimefeli...kuanzia Australian Open, Carling Cup, Arsenal,...mpaka Algeria...
Ghana walaa sina mategemeo nao 🙁

hakuna 'psychologist' humu ainue morale yangu kidogo?
 
...si ndio!

psychological advantage ni kitu kingine kabisa,...yale yale ya Manure na Man Citeh jana,...

Ndio maana wenzetu kwenye teams wanaye mpaka psychologist kuwapa morale wachezaji...

...haya, ngoja tuangalie yatayojiri jumapili sasa... kila nilichokishabikia wiki mbili hizi kimefeli...kuanzia Australian Open, Carling Cup, Arsenal,...mpaka Algeria...
Ghana walaa sina mategemeo nao 🙁

hakuna 'psychologist' humu ainue morale yangu kidogo?

Jumapili tunashinda 2-1(Mark my words)
 
...si ndio!

psychological advantage ni kitu kingine kabisa,...yale yale ya Manure na Man Citeh jana,...

Ndio maana wenzetu kwenye teams wanaye mpaka psychologist kuwapa morale wachezaji...

...haya, ngoja tuangalie yatayojiri jumapili sasa... kila nilichokishabikia wiki mbili hizi kimefeli...kuanzia Australian Open, Carling Cup, Arsenal,...mpaka Algeria...
Ghana walaa sina mategemeo nao 🙁

hakuna 'psychologist' humu ainue morale yangu kidogo?
Kama unamshabikia Nadal hapo tuko pamoja....na Ghana pia.
 
Back
Top Bottom