Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
As much as mwanamke ana mapungufu milioni mia nne haipotezi ukweli kuwa hakuna alie kulazimisha bro,
Haipotezi logic kuwa asilimia kubwa ya wanaume wana ushamba wa wanawake.
Na kama navyosemaga "anguko kuu la mwanaume ni pale anapokuwa mshamba wa wanawake"
Kuna Dini zimebadilishwa baadhi ya misingi kwa sababu tu mwanzilishi alishindwa kujizuia kuhusu wanawake basi akaona iwe halali kwa kila mtu, watu mashuhuri kwenye vitabu vya mafundisho ya dini walipoteza reputation zao kwa sababu hio hio.
Haipotezi logic kuwa asilimia kubwa ya wanaume wana ushamba wa wanawake.
Na kama navyosemaga "anguko kuu la mwanaume ni pale anapokuwa mshamba wa wanawake"
Kuna Dini zimebadilishwa baadhi ya misingi kwa sababu tu mwanzilishi alishindwa kujizuia kuhusu wanawake basi akaona iwe halali kwa kila mtu, watu mashuhuri kwenye vitabu vya mafundisho ya dini walipoteza reputation zao kwa sababu hio hio.