saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Wabunge wanaendelea kujadili ripoti ya CAG Bungeni wabunge wengi wmeonekana kulalamikia ubabaishaji mkubwa uliopo kwenye mfumo wa utoaji wa ruzuku ya mbolea huku wengi wakidai utaratibu huo unawanufaisha matajiri huku wakulima wakiendelea kulia.
Mbunge Condescha Sichalwe na Vita Kawawa wamelalamikia wakulima wengi kutofikiwa na mbolea ya ruzuku huku Serikali ikiwa imeshatoa Bilioni 150 kwa ajili ya kugawa mbolea ya Ruzuku.
Hali ikoje kwa wakulima kuhusu mbolea ambayo inaonekana ndio machinjio ya Waziri Bashe na hata alipotoa taarifa yake bungeni kwa Mbunge Vita, Spika Tulia akaikataa na kutaka wakulima wafikiwe na mbolea kama malengo ya Serikali
Mbunge Condescha Sichalwe na Vita Kawawa wamelalamikia wakulima wengi kutofikiwa na mbolea ya ruzuku huku Serikali ikiwa imeshatoa Bilioni 150 kwa ajili ya kugawa mbolea ya Ruzuku.
Hali ikoje kwa wakulima kuhusu mbolea ambayo inaonekana ndio machinjio ya Waziri Bashe na hata alipotoa taarifa yake bungeni kwa Mbunge Vita, Spika Tulia akaikataa na kutaka wakulima wafikiwe na mbolea kama malengo ya Serikali