Binamu wiki hii yenu naona siku hizi unakuwa mpole hahaaa [emoji13] [emoji13] hamia mziki mzuri update vitu adimuDiamondi haja anguka
Wimbo na Ne-Yo kwa kweli haukuwa kama ulivodhaniwa utakuwa
Wimbo na Rich Mavoko mimi naona ni mzuri.
Haja anguka, mtu anaye toa nyimbo 5-6 kwa mwaka lazima zisizo kupendeza ziwepo.
Halafu kwa Diamond kuwa kama Mr Nice, hilo ni dua la kuku tu halimpati mwewe asee.
Kumbuka Mr nice alikuw diamond wa sasaUkiwa na hela aliyonayo mond afu ukafa kibudu ka mr. Nice unahitaji maono na maombi ya lema! mengi ulosema ni sawa ila hiyo ya kusema ataanguka ka mr nice braza umepuyanga mbaya.
Anything can happen binamu , hakuna lisilowezekana kwa mungu ndo mana hiyo kauli alioitoa iliwachukiza wengi kwasababu haipendezi mbele za mungu , coz kama amekupa yeye anaweza akakunuang'anya anytime , otherwise kapewa na shetaniHahaha
Amenikumbusha Lema alivoota Magufuli Mungu kamchukua.
Ni sawa na jamaa hapa, diamond ana weza kufilisika ndio lakini level ya Mr nice hiyo itakuwa balaa
Fuata yako, hapa TZ kuna studio nyingi sana, hebu ingia studio na wewe utupe nyimbo zako shwainiHabari zenu wakuu.
Kwa jinsi upepo unavyovuma sina budi kusema kwamba huyu kijanaa mwenzetu kutoka tandale anaelekea kuanguakia pua kama ilivyotokea kwa msanii mwenzake Mr nice( Lucas mkenda),sababu kubwa itakayofanya huyu kijana wetu aanguke mshindo mkubwa ni kulewa sifa kiasi kwamba anatumia umaarufu wake kutoa nyimbo ambazo hazina viwango.
Kitu kingine ni kwamba inaonekana huyu bwana mdogo anatumia nguvu na ukubwa wa timu yake kusambaza nyimbo ambazo ziko chini ya kiwango kitu ambacho ni makosa makubwa kwasababu sisi ambao hatuna timu au hatuko kwenye timu yake ni rahisi sana kuona ubovu wa nyimbo zake kwasababu tunatumia akili zetu kuchambua tofauti na members wa timu yake ambao hutumia mihemko.
Kitu kingine anachofanya huyu kijana ambacho sio kizuri ni kutumia nguvu kubwa kwenye video ili kuficha ubovu wa audio kitu ambacho kwa upande mwingine kinapelekea kuwanyima haki ya kusikiliza mziki mzuri wale wasiotizama video zake.
Mwisho.
Diamond alikuja vizuri sana lakini huko anakoenda kuna giza nene lisiloelezeka, kwani kwa hizi nyimbo zake mbili mpya za yeye na Neyo na rich mavoko zinaashiria kwamba graph yake inashuka kwa kasi.
Namshauri aangalie sana management aliyonayo kwa sasa maana naona huyu "Salam" anafanya umbeya zaidi kuliko kazi anazotakiwa kufanya,pia ikiwezekana siku moja moja afanye nyimbo zake kwenye studio nyingine siyo kila siku "WASAFI RECORD"maana naamini hawawezi kujua kila kitu,pia aache kufanya vitu kwa mazoeya.
Binamu nakuonaa nakuonaa[emoji102] [emoji102] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Cool
Umeongea kwa hekima kweli yaani bro!
[emoji4]Binamu nakuonaa nakuonaa[emoji102] [emoji102] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Si kweli kashajijenga labda ashuke kimzikiUtabiri wako unakaribia kutimia
Yupo kwenye gemu toka 2008! Leo hii anakuza vipaji vingine!Habari zenu wakuu.
Kwa jinsi upepo unavyovuma sina budi kusema kwamba huyu kijanaa mwenzetu kutoka tandale anaelekea kuanguakia pua kama ilivyotokea kwa msanii mwenzake Mr nice( Lucas mkenda),sababu kubwa itakayofanya huyu kijana wetu aanguke mshindo mkubwa ni kulewa sifa kiasi kwamba anatumia umaarufu wake kutoa nyimbo ambazo hazina viwango.
Kitu kingine ni kwamba inaonekana huyu bwana mdogo anatumia nguvu na ukubwa wa timu yake kusambaza nyimbo ambazo ziko chini ya kiwango kitu ambacho ni makosa makubwa kwasababu sisi ambao hatuna timu au hatuko kwenye timu yake ni rahisi sana kuona ubovu wa nyimbo zake kwasababu tunatumia akili zetu kuchambua tofauti na members wa timu yake ambao hutumia mihemko.
Kitu kingine anachofanya huyu kijana ambacho sio kizuri ni kutumia nguvu kubwa kwenye video ili kuficha ubovu wa audio kitu ambacho kwa upande mwingine kinapelekea kuwanyima haki ya kusikiliza mziki mzuri wale wasiotizama video zake.
Mwisho.
Diamond alikuja vizuri sana lakini huko anakoenda kuna giza nene lisiloelezeka, kwani kwa hizi nyimbo zake mbili mpya za yeye na Neyo na rich mavoko zinaashiria kwamba graph yake inashuka kwa kasi.
Namshauri aangalie sana management aliyonayo kwa sasa maana naona huyu "Salam" anafanya umbeya zaidi kuliko kazi anazotakiwa kufanya,pia ikiwezekana siku moja moja afanye nyimbo zake kwenye studio nyingine siyo kila siku "WASAFI RECORD"maana naamini hawawezi kujua kila kitu,pia aache kufanya vitu kwa mazoeya.
alifilisika Michael Jackson, Mike Tyson aje kua diamond?(ingawa simuombei aflisike). mkuu huijui dunia nyamaza!Hahaha
Amenikumbusha Lema alivoota Magufuli Mungu kamchukua.
Ni sawa na jamaa hapa, diamond ana weza kufilisika ndio lakini level ya Mr nice hiyo itakuwa balaa
USA nikikutajia watu walo filisika hapa ni wengii utashangaa. ni kwa sbab ya aina ya maisha ya kule na taratib za kule.alifilisika Michael Jackson, Mike Tyson aje kua diamond?(ingawa simuombei aflisike). mkuu huijui dunia nyamaza!
sisi ni masikini, kuna msemo unasema masikini hafilisiki,USA nikikutajia watu walo filisika hapa ni wengii utashangaa. ni kwa sbab ya aina ya maisha ya kule na taratib za kule.
nimepiga mahesabu ya kibongo bongo hapo
haji filisika mark my word
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]sisi ni masikini, kuna msemo unasema masikini hafilisiki,
Habari zenu wakuu.
Kwa jinsi upepo unavyovuma sina budi kusema kwamba huyu kijanaa mwenzetu kutoka
Namshauri aangalie sana management aliyonayo kwa sasa maana naona huyu "Salam" anafanya umbeya zaidi kuliko kazi anazotakiwa kufanya,pia ikiwezekana siku moja moja afanye nyimbo zake kwenye studio nyingine siyo kila siku "WASAFI RECORD"maana naamini hawawezi kujua kila kitu,pia aache kufanya vitu kwa mazoeya.
Watanzania wakati mwingine tu watu wa ajabu sana!!! Mkuu kwani tatizo liko wapi? Anzisha bendi ya kwamko halafu tuje tukutembelee baada ya nusu mwaka tuone umefikia wapi kimaendeleo - we si unamuona mwenzako si mbunifu - mara sijui jamaa kalewa sifa, basi tu maneno chungu mzima ya kujaribu kumkatisha Mtanzania mwenzako badala ya kumtia moyo, Waingereza wana msemo: "Husipo kuwa na jambo jema la kuzungumza kuhusu binadamu mwenzako ni bora/kheri ukakaa kimya" hiyo ndiyo Tanzania tunayo itaka sisi siyo mnaleta mambo yanayo fanana na mipasho ya taarabu - Nasib kakukwaza nini katika maisha yako.