Anguko la Diamond ni sawa na "Mr nice"

Wewe una subiria anguko la diamond kuna watu wanasubiria anguko lako umejipanga vipi ktk anguko lako?
 
Huko kimataifa amefika ukingoni kwakuwa ameanza kuwacopy hao wa kimataifa.
Ukimcopy mtu utaweza kusindana naye kwenye soko moja?
*kushindana not kusindana...2nd amem copy nani?wazungu wanamsemo "watch and learn"...baada ya muda utaelewa nlimaanisha nn
 
Mwenzio Ommydimpozi amenyimwa Mshedede na Nassib ndio maana anapaniki hovyo na hasira juu..sasa wewe umenyimwa nini na Diamond mkuu[emoji38][emoji38]mbona povu?!

Tangu mulipoanza kutabiri mpaka leo tabiri zenu hazijatimia tu?![emoji38][emoji38]

Ommy dimpozi part 2[emoji38][emoji38][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Huko kimataifa amefika ukingoni kwakuwa ameanza kuwacopy hao wa kimataifa.
Ukimcopy mtu utaweza kusindana naye kwenye soko moja?
Mbona nyinyi mnataka siasa zetu zinafanane na tuliowacopy mara ngapi humu mnataka demokrasia yetu iwe sawa na Marekani au ulaya
 
Diamond kwa sasa ni msanii wa kimataifa na yupo kibiashara na kiburudani zaidi.
Davido wa nigeria nyimbo zake ni makelele matupu ila ndizo zinazompa tuzo, lengo lake kubwa ni kuburudisha tu na ndipo hapa mziki wa kisasa na wa kibiashara ulipoegemea.

Nyimbo ya rich mavoko ina mashairi ya kawaida sana ila ina video yenye ubora wa kimataifa na sitashangaa kuona ikipigwa na vituo vya kimataifa.

Wimbo official wa diamond na ne-yo bado haujatoka. Ule uliovuja ni "demo" na ndio maana ubora wa sauti ni mdogo, nadhani bwana mkubwa atakuwa amewekeza zaidi kwenye video ili aweze kupata shavu katika vituo vya ulaya na amerika ikibidi.
 
Hahaha
Amenikumbusha Lema alivoota Magufuli Mungu kamchukua.

Ni sawa na jamaa hapa, diamond ana weza kufilisika ndio lakini level ya Mr nice hiyo itakuwa balaa
Mtoa mada ametoa maono yake ambayo ni mazuri tu na ni kama ushauri au angalizo tu ila unachotakiwa kujua ni kwamba hata mtu awe tajiri vp ana nafasi ya kufilisika na kufikia hatua ya kulala nje yani kubaki kumiliki nguo alizovaa tu
 
Mtoa mada ametoa maono yake ambayo ni mazuri tu na ni kama ushauri au angalizo tu ila unachotakiwa kujua ni kwamba hata mtu awe tajiri vp ana nafasi ya kufilisika na kufikia hatua ya kulala nje yani kubaki kumiliki nguo alizovaa tu
Mkuu hiyo chance ni 1:100, 0000 kumtokea diamond, hadi aka lala nje kabisa
Halafu ni 1:100 kumtokea Diamond akawa kama mr nice kwa mfulio.

It is hardly possible
 
Hahaha
Amenikumbusha Lema alivoota Magufuli Mungu kamchukua.

Ni sawa na jamaa hapa, diamond ana weza kufilisika ndio lakini level ya Mr nice hiyo itakuwa balaa

Ukiwa na hela aliyonayo mond afu ukafa kibudu ka mr. Nice unahitaji maono na maombi ya lema! mengi ulosema ni sawa ila hiyo ya kusema ataanguka ka mr nice braza umepuyanga mbaya.
Mnaongea nini nyie?

Mnamfahanu Whitney Hutson?

Alikuwa tajiri , huyo diamond zidisha mara 10000, lkn alikufa maskini

Wapo wengi tu,
 
Ingawa mwandishi dizain uko na kinyongo fln still umeongea point...
Kunakitu sijakipenda kwa diamond this few yrs toka internationally, amekosa ubunifu ktk utunzi na midundo au tones zenye kulink akili moyo na nafsi unaposikilza mziki wake.. anafanya vidio nzuri ila anaimba kwa idea zile zile ingawa kokoro iko somehe different lkn message ni ile ile"mapenzi"
Lkn pia diamond ache mambo ya kurushiana vijembe na wasanii wenzake ye apige kax aimbe mziki mzuri watu wataongea wenyewe na wasiomkubali watamkubar kwann kujibizana kwa "kizaramo" wakat ye mmanyemaa? Asipobadrka atabaki na hela but no music legacy
 
Unajua kaka kila binadam ana limit yake wanamchokonoa sana jamaa, ila akiwajibu yy ndo anaonekanaga mbaya why....wanasema mjusi ukimkimbiza sana hugeuka kuwa nyoka
 
Mnaongea nini nyie?

Mnamfahanu Whitney Hutson?

Alikuwa tajiri , huyo diamond zidisha mara 10000, lkn alikufa maskini

Wapo wengi tu,
Unaongea nini wewe!!?

Alikuwa tajiri marekani , nao wana mifumo yao ya maisha, marekani kuna watu wanaitwa homeless, hapa bongo ukisha jenga nyumba umeula. Wao namna uchumi wao unavo endeshwa ni tofaut na sisi. Kwao ni rahisi kuwa tajiri wakati pia ni rahisi kufilisika.

Kwa namna yetu ya maisha ni kazi sana, hata huyo whutney houston hakufa akiwa ana 0 kabisa.

Hivi nyie mnavo kuongelea kufilisika kwa mr Nice mna kuchukulia poa ee!!?, Mr Nice alifilisika kweli kweli, it happens once in a hundred years hiyo ya Nice. Halafu mr Nice hakifilisika mali alifilisija pesa, hakiwekeza chochote, Ki ufupi alifulia tuu.
Diamond akifilisika hivo lazima tukampime akili.
 
Mr. Nice kafikia kupika gongo , wewe unaongea nn
 
Tatizo wabongo wengi hamjui soko la kimataifa linataka nini ndo maana mtaishia kusema tungo zake amepunguza au amepungukiwa ubunifu
Ukweli ni kwamba anachoimba diamond ndo kinachoitajika soko la africa.
Nyimbo kama
Nana
Kidogo
Zigo remix
Make me sing
Ndio zinazompa show africa kuanzia nigeria, malawi, zimbambwe, zambia, botwana na kwengine duniani
Ndio nyimbo zinazompa tuzo kimataifa
Hivi unadhani mtu wa zambia au nigeria ataangalia mistari yako ya kiswahili inaujumbe gani?
Hivi mnajua kwanini nyimbo za navy kenzo zinafanya vizuri zaidi nje ya nchi?
Game na kamatia chini , hizi nyimbo zimekaa kwenye mfumo wa dancehall na hazina ujumbe wowote mzito lakini zinawapa heshima navy kenzo afric nzima
Ndo maana inabidi nicheke tu wanaosema kuna anguko la diamond
 
Ukiwa na hela aliyonayo mond afu ukafa kibudu ka mr. Nice unahitaji maono na maombi ya lema! mengi ulosema ni sawa ila hiyo ya kusema ataanguka ka mr nice braza umepuyanga mbaya.
Unajua idadi ya pesa aliokuwa nayo mkuu au ndio yaleyale ukisikia mdundo wa ngoma na ww lzm utingishe japo kalio moja tu
 
Ulishawahi sikiliza mziki wa kinigeria? Ulishawahi mfatilia mr flavour? Na kama unamjua mr flavour je unahis yuko sawa na mond au nani yuko juu ya mwenzake kimuziki? Ukinijibu haya nitakuambia kitu
 
Ulishawahi sikiliza mziki wa kinigeria? Ulishawahi mfatilia mr flavour? Na kama unamjua mr flavour je unahis yuko sawa na mond au nani yuko juu ya mwenzake kimuziki? Ukinijibu haya nitakuambia kitu
Ww jamaa nishakusoma ww ni hater na always hater hana sababu yy ni ku hate tu
 
Ww jamaa nishakusoma ww ni hater na always hater hana sababu yy ni ku hate tu
Hahahahahahaha i think Am too logical thuy y umeshindwa kunielewa, tukiza akili jibu maswal yangu then i will tell u something. ..[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…