Anguko la Diamond ni sawa na "Mr nice"

Anguko la Diamond ni sawa na "Mr nice"

Mnaongea nini nyie?

Mnamfahanu Whitney Hutson?

Alikuwa tajiri , huyo diamond zidisha mara 10000, lkn alikufa maskini

Wapo wengi tu,

Weweeeeee....Usmfananishe Diamond na wavuta unga..watu wajinga wajinga tuuuu!!!
 
Wewe acha uongo, aliokwambia Whitney Houston alikufa masikini ni nani? Whitney kafa kaacha bando la maana. Kufa kwa kuvuta madawa maana yake sio kufa masikini.
Tena amekufa ameacha mali kibao , boyfriend wake na ndugu wanazigombania, mkuu huyo jamaa kakurupuka anataka kutuaminisha ujinga na chuki
 
ukisema ukweli watakuita team kiba as if tz kuna sheria ukimpenda diamond huwezi kumpenda ally kiba
nyimbo mbaya sana mkuu kijana ajipange upya na kuhusu sallam ni kweli abaki tu kutafuta show amuache mswahili wetu wa tangu kale babu tale
Aise
 
Nyie wa backstage mna shida sana kutwa nzima mabaya tu platnumz kitambo sana sana ndugu yetu ametabiliwa mabaya lakini amekuwa imara siku zote hongera zako simba
 
*kushindana not kusindana...2nd amem copy nani?wazungu wanamsemo "watch and learn"...baada ya muda utaelewa nlimaanisha nn
Amecopy video ya love me lil Wayne feat.drake and future

Copy
1479883929516.png
1479883949009.png
1479883967589.png

Paste
1479883991469.png
1479884009669.png
1479884026991.png
 
alafu waungwanaa!huu wimbo sio wa diamond ni wa rich mavoko-yeye ndo kaimba verse ya 1na ya 2!naona watu wanachanganya wanasema ni wa diamond ft mavoko wakati ni mavoko ft diamond!
 
Tatizo haya matimu ndo chanzo cha wasanii kuelekea kubaya kiukwl kabisa!! Unajua mm huwa napnda nyimbo na huwa sina taratibu za kupnda mtu!! Anapofanya vizur msanii yeyote yule anastahil pongez, pia unapoona mtu anaelekea kusiko c vyema kukumbatia u team!! Jamaa kaelezea vizuri sna kuwa uwezo wa jamaa utashuka kama sipokua makini na wakumuangusha ni miteam isiyo ya maana! Diamond haimba kama zamani, hana hisia za kimuziki kama zamani! Ww tim ukisikia nyimbo tu ya diamond bac hata akiwa hajafanya vizur unatoa pongez! Tuache ushabiki wakati mwingine tujue kabisa hawa vijana wetu kuna wakati wanateleza kw hiyo lazima usema ukwl! Na ndivyo kesho atalekebisha tatizo! Diamond ni binadam so kuna wakati anakosea pia, tuache matim tushabikia muziki kuitangaza Tanzania!
 
Tatizo haya matimu ndo chanzo cha wasanii kuelekea kubaya kiukwl kabisa!! Unajua mm huwa napnda nyimbo na huwa sina taratibu za kupnda mtu!! Anapofanya vizur msanii yeyote yule anastahil pongez, pia unapoona mtu anaelekea kusiko c vyema kukumbatia u team!! Jamaa kaelezea vizuri sna kuwa uwezo wa jamaa utashuka kama sipokua makini na wakumuangusha ni miteam isiyo ya maana! Diamond haimba kama zamani, hana hisia za kimuziki kama zamani! Ww tim ukisikia nyimbo tu ya diamond bac hata akiwa hajafanya vizur unatoa pongez! Tuache ushabiki wakati mwingine tujue kabisa hawa vijana wetu kuna wakati wanateleza kw hiyo lazima usema ukwl! Na ndivyo kesho atalekebisha tatizo! Diamond ni binadam so kuna wakati anakosea pia, tuache matim tushabikia muziki kuitangaza Tanzania!
Unatakiwa uelewe diamond hawezi kuimba tena kama zamani ameshakuwa mkubwa fan basr yake ya sasa ni tofauti na zaman anamashaniki wengi sana nje ya Tanzania.
Akitoa wimbo sasa hivi ni wa africa nzima sio Tanzania pekee kueni waelewa basi,
Sasahivi diamond akienda zambia au nigeria hawezi imba kamwambie au mbagala watu wakapata vibes
Hata kwenye maisha ya kawaida unapopanda juu kuna baadhi ya vitu unaviacha vya zamani
 
Vi scene viwili unalia lia ka copy nenda kaskilize ngoma ya Jay z Bonnie & Clyde na ya Tupac Me & my girlfriend afu urudi kulalamika...ktk dunia hii almost kila kitu kishafanyika kinachotokea ni kunyumbulisha tu wazo la mwenzio upate kilicho bora..
Umesema nikuletee ushahidi wa copy & paste iliyofanywa na WCB nimekuletea.

Jay z akiliwa jicho na wewe utakuwa tayari kuliwa jicho??
 
Umesema nikuletee ushahidi wa copy & paste iliyofanywa na WCB nimekuletea.

Jay z akiliwa jicho na wewe utakuwa tayari kuliwa jicho??
Unajua kajiandae imeshutiwa sehem bado iliposhutiwa sema walififsha light so unataka kunambia walikosa sehem nyingne ya kushutia tofaut na iyo
 
Unajua kajiandae imeshutiwa sehem bado iliposhutiwa sema walififsha light so unataka kunambia walikosa sehem nyingne ya kushutia tofaut na iyo
Huyo jamas ni hater , hajui hata anachokiongea
 
Back
Top Bottom