Tatizo haya matimu ndo chanzo cha wasanii kuelekea kubaya kiukwl kabisa!! Unajua mm huwa napnda nyimbo na huwa sina taratibu za kupnda mtu!! Anapofanya vizur msanii yeyote yule anastahil pongez, pia unapoona mtu anaelekea kusiko c vyema kukumbatia u team!! Jamaa kaelezea vizuri sna kuwa uwezo wa jamaa utashuka kama sipokua makini na wakumuangusha ni miteam isiyo ya maana! Diamond haimba kama zamani, hana hisia za kimuziki kama zamani! Ww tim ukisikia nyimbo tu ya diamond bac hata akiwa hajafanya vizur unatoa pongez! Tuache ushabiki wakati mwingine tujue kabisa hawa vijana wetu kuna wakati wanateleza kw hiyo lazima usema ukwl! Na ndivyo kesho atalekebisha tatizo! Diamond ni binadam so kuna wakati anakosea pia, tuache matim tushabikia muziki kuitangaza Tanzania!