Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
CopyHakuna uhusiano wa kuliwa jicho na ku copy muzic...kwani ndugu we darasa la ngapi?sikutegemea unaweza fananisha ivo vitu viwili....afu unapozungumzia copy n paste ujue ht maana yake...mi sioni copy n paste hapo...rangi hazifanani,vitanda havifanani...arrangement ya items ktk izo scene hazifanani...copy n paste maana yake kila kitu kina kua vile vile hakuna mabadiliko bt hapo kuna mabadiliko makubwa...sema ka copy idea ila sio copy n paste...ukiweka paste unabadili maana...
Kucopy maendeleo kunaruhusiwa ndo maana jamaa anatusua sana show africa nzima,
Mkuu bora umeliona hilo. Hao wanaojiita team yake ndo wanaozidi kumdanganya. Nyimbo mbovu Sana tu.Habari zenu wakuu.
Kwa jinsi upepo unavyovuma sina budi kusema kwamba huyu kijanaa mwenzetu kutoka tandale anaelekea kuanguakia pua kama ilivyotokea kwa msanii mwenzake Mr nice( Lucas mkenda),sababu kubwa itakayofanya huyu kijana wetu aanguke mshindo mkubwa ni kulewa sifa kiasi kwamba anatumia umaarufu wake kutoa nyimbo ambazo hazina viwango.
Kitu kingine ni kwamba inaonekana huyu bwana mdogo anatumia nguvu na ukubwa wa timu yake kusambaza nyimbo ambazo ziko chini ya kiwango kitu ambacho ni makosa makubwa kwasababu sisi ambao hatuna timu au hatuko kwenye timu yake ni rahisi sana kuona ubovu wa nyimbo zake kwasababu tunatumia akili zetu kuchambua tofauti na members wa timu yake ambao hutumia mihemko.
Kitu kingine anachofanya huyu kijana ambacho sio kizuri ni kutumia nguvu kubwa kwenye video ili kuficha ubovu wa audio kitu ambacho kwa upande mwingine kinapelekea kuwanyima haki ya kusikiliza mziki mzuri wale wasiotizama video zake.
Mwisho.
Diamond alikuja vizuri sana lakini huko anakoenda kuna giza nene lisiloelezeka, kwani kwa hizi nyimbo zake mbili mpya za yeye na Neyo na rich mavoko zinaashiria kwamba graph yake inashuka kwa kasi.
Namshauri aangalie sana management aliyonayo kwa sasa maana naona huyu "Salam" anafanya umbeya zaidi kuliko kazi anazotakiwa kufanya,pia ikiwezekana siku moja moja afanye nyimbo zake kwenye studio nyingine siyo kila siku "WASAFI RECORD"maana naamini hawawezi kujua kila kitu,pia aache kufanya vitu kwa mazoeya.
CopyKucopy maendeleo kunaruhusiwa ndo maana jamaa anatusua sana show africa nzima,
Sasa yule yeye anacopy na kupaste kupumuliwa
Aisee[emoji23] [emoji23]Kama unaweza panda juu nenda ukazibe.
Asante kwa ushauri mkuu.Waelekeze jinsi ya kulima maharagwe, karanga, njegere ili waweze kupunguza vitambi. Si kula nyama na samaki kunasaidia. kwetu hatuli nyama na samaki ila hivyo vitu vimefanya watoto wasiwe na hiyo hali.
Tatizo hawataki kushauriwa.Mkuu bora umeliona hilo. Hao wanaojiita team yake ndo wanaozidi kumdanganya. Nyimbo mbovu Sana tu.
Ukiwashauri wanakuita team kiba wengine hatunaga team tunapenda mziki mzuri tu haijalishi kaimba nani.Tatizo hawataki kushauriwa.
Kweli,mimi nasikiliza nyimbo yeyote nzuri kutoka kwa msanii yeyote,ndiyo maana mtu anapokosea inabidi ashauriwe,sasa kama unavyosema hawa ndugu zetu wao wanapokea tu hata kama kitu ni low quality.[emoji23]Ukiwashauri wanakuita team kiba wengine hatunaga team tunapenda mziki mzuri tu haijalishi kaimba nani.
Hawakubaliii hata Kama ni mbovu watasifia tu.Kweli,mimi nasikiliza nyimbo yeyote nzuri kutoka kwa msanii yeyote,ndiyo maana mtu anapokosea inabidi ashauriwe,sasa kama unavyosema hawa ndugu zetu wao wanapokea tu hata kama kitu ni low quality.[emoji23]