Anguko la Diamond ni sawa na "Mr nice"

Yeye binafsi simkubali...ila zipo baadhi ya nyimbo zake nazipenda hasa za zamani.
Ipo siku nitakuambia ni nyimbo zipi [emoji6]
Hahaha! Let me guess moja ya hizo nyimbo....... 'Chanda chema' [emoji12]
 
Ni kweli, ni bora kuwasapot wasanii wetu wote kwa kutoa ushauri na kupokea kazi zao kuliko kuwaponda na kuwaombea kushuka kimziki.
*Atakaposhuka diamond basi kuna wasanii na watu wengi nyuma yake pia hawataweza kufikia ndoto zao.
 
Ya Mungu mengi..labda kwelii! Kwani ni nani alijua Trump atashinda uchaguziii [emoji6][emoji6][emoji3]

Yeye ni binadamu kama wengine tu na kupanda na kushuka ndo maisha yenyewe hayo ..ye ni nani kwamba atakua juu tu kila siku!? Ipo siku na yeye anaweza akawa kama Mr. Nice tu...sio ajabu hata! Ndo maishaaa
 
Hahaha! Let me guess moja ya hizo nyimbo....... 'Chanda chema' [emoji12]
Damnit!How could you figure out this?
Hadi nimeogopaaaa![emoji15] [emoji87]

Wallah nilitaka kusema Nenda Kamwambie,Chanda chema and xo xo.
Umetisha [emoji119]
 
Hahahaha,acha kumtisha mwenzio
 
Damnit!How could you figure out this?
Hadi nimeogopaaaa![emoji15] [emoji87]

Wallah nilitaka kusema Nenda Kamwambie,Chanda chema and xo xo.
Umetisha [emoji119]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Am a psychic [emoji6]
 
Kuanguka kama Lucas Mkenda sidhani, japo mungu ndio ajuae Kesh ya mtu....nyimbo zake nzuri japo hii ya kokoro ni mbaya ila bad ni mzuri monde yup juu..ni sawa saw na nyimbo ya kiba kabla ya aje ilikua haikubaliki kabisaa---Lupela
 

Kama msanii mkubwa jabisa Africa nafikiri alichokiandika hapa anazidi kuonekana hana maana.
 

Kama msanii mkubwa jabisa Africa nafikiri alichokiandika hapa anazidi kuonekana hana maana.
Ninyi wenye roho nzuri toeni basi hata kimsaada tuwaone, MAJUNGUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU Tigo mnzouza haziwalipi?
 
Ndo tabia ya masikini wakipata huwa wanachanganyikiwa... ila mkumbusheni bila baba yake asingekuwepo leo hii
 
Ukiwa na hela aliyonayo mond afu ukafa kibudu ka mr. Nice unahitaji maono na maombi ya lema! mengi ulosema ni sawa ila hiyo ya kusema ataanguka ka mr nice braza umepuyanga mbaya.
Hakuna amuombeaye mabaya ,ungekuwa anamfahamu MC HUMMER sijui kama ungeandika ulichoandika.

MC HUMMER alikuwa mwanamziki mweusi tajiri namba moja USA na alimiliki Mali nyingi za kifahari ikiwa ni pamoja na jumba alilomuuzia Mike Tyson ,Mike Tyson pia akamuuzia 50 Cent.

Alikuwa tajiri lakini alifirisika kabisa na kusahaulika.Nidhamu ni kila kitu,tunamuombea abadili mwenendo wake kwa manufaa yake mwenyewe.
 
ukisema ukweli watakuita team kiba as if tz kuna sheria ukimpenda diamond huwezi kumpenda ally kiba
nyimbo mbaya sana mkuu kijana ajipange upya na kuhusu sallam ni kweli abaki tu kutafuta show amuache mswahili wetu wa tangu kale babu tale
mkuu hii signature yako ina maneno ya wimbo nlokua naupenda sana enzi hizo shule ya dini
 
You wish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…