Anguko la Diamond ni sawa na "Mr nice"

Anguko la Diamond ni sawa na "Mr nice"

Kufulia kupo, hakuna msanii atakaedumu kwenye game milele! Atapotea tu kupisha nafasi ya wengine! Walikuepo Akina 50 cent, Eminem, defao, mbilia bell, Leo hii tuna Akina fally ipupa, ferre gola, nk
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] hali ya hewa inaruhusu bana naogopa kubebwa na mafuriko
heheheheh enjoy mwaya...ila boat yetu bado inapiga mzigo fresh nyakati hzi tu so worry out...
 

Mansonic sign zao hata ney kuna video alionyesha hayo mambo kuwasoma ni kazi kama mnawaza hawa jamaa kushuka kimziki sio leo labda wakiuke masharti na moja ya mambo yao ni pamoja na kuliwa mzigo pitia pitia 2pac alipo wakatalia kuliwa tgo waka mdedisha(ingia you tube utaona mambo mengi)
 
Kwani akianguka wewe inakuuma Nini? Kwanini usingekomaa na maisha yako ya kila siku ya kutafutia chakula watoto wako. Watanzania wengine ni wa ajabu sana.
 
Diamond ni mswahili alafu kalewa sifa kuimba alikuwa anajua zamani ila kwa sasa ndumba na team ushuzi ndio zinampa promo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

No comment!!
Nikijibu hapa nitaandika bonge la gazeti mpaka watu watakereka hahahahaha

Hizi ni 'Kokoro' [emoji6]
Ungeandika tu...mlengwa ni mimi na ningesoma,hao wengine wakereke kwani wamelazimishwa kusoma?

Hiyo kokoro naisikia tu...maybe nitautafuta sababu ya Rich Mavoko.
Namkubaligi jamaa design [emoji6],hajawahi kutoa boko.
Hii sijui itakuwaje...
 
Ungeandika tu...mlengwa ni mimi na ningesoma,hao wengine wakereke kwani wamelazimishwa kusoma?

Hiyo kokoro naisikia tu...maybe nitautafuta sababu ya Rich Mavoko.
Namkubaligi jamaa design [emoji6],hajawahi kutoa boko.
Hii sijui itakuwaje...
Subiri nitaandika bonge la gazeti hapa hahahah!!

Hata chibu najua unamkubali kimya kimya.. [emoji23]
 
Subiri nitaandika bonge la gazeti hapa hahahah!!

Hata chibu najua unamkubali kimya kimya.. [emoji23]
Yeye binafsi simkubali...ila zipo baadhi ya nyimbo zake nazipenda hasa za zamani.
Ipo siku nitakuambia ni nyimbo zipi [emoji6]
 
Habari zenu wakuu.

Kwa jinsi upepo unavyovuma sina budi kusema kwamba huyu kijanaa mwenzetu kutoka tandale anaelekea kuanguakia pua kama ilivyotokea kwa msanii mwenzake Mr nice( Lucas mkenda),sababu kubwa itakayofanya huyu kijana wetu aanguke mshindo mkubwa ni kulewa sifa kiasi kwamba anatumia umaarufu wake kutoa nyimbo ambazo hazina viwango.

Kitu kingine ni kwamba inaonekana huyu bwana mdogo anatumia nguvu na ukubwa wa timu yake kusambaza nyimbo ambazo ziko chini ya kiwango kitu ambacho ni makosa makubwa kwasababu sisi ambao hatuna timu au hatuko kwenye timu yake ni rahisi sana kuona ubovu wa nyimbo zake kwasababu tunatumia akili zetu kuchambua tofauti na members wa timu yake ambao hutumia mihemko.

Kitu kingine anachofanya huyu kijana ambacho sio kizuri ni kutumia nguvu kubwa kwenye video ili kuficha ubovu wa audio kitu ambacho kwa upande mwingine kinapelekea kuwanyima haki ya kusikiliza mziki mzuri wale wasiotizama video zake.

Mwisho.
Diamond alikuja vizuri sana lakini huko anakoenda kuna giza nene lisiloelezeka, kwani kwa hizi nyimbo zake mbili mpya za yeye na Neyo na rich mavoko zinaashiria kwamba graph yake inashuka kwa kasi.

Namshauri aangalie sana management aliyonayo kwa sasa maana naona huyu "Salam" anafanya umbeya zaidi kuliko kazi anazotakiwa kufanya,pia ikiwezekana siku moja moja afanye nyimbo zake kwenye studio nyingine siyo kila siku "WASAFI RECORD"maana naamini hawawezi kujua kila kitu,pia aache kufanya vitu kwa mazoeya.
Mkuu maharage ya wapi umekula
 
Back
Top Bottom