FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,548
binti almasi mamboTushawazoea akina nyie... Tangu 2014 mnatabiri tuuu hayatimii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
binti almasi mamboTushawazoea akina nyie... Tangu 2014 mnatabiri tuuu hayatimii
[emoji3] [emoji3] [emoji3] poa upobinti almasi mambo
npo....majira yamenificha tu[emoji3] [emoji3] [emoji3] poa upo
Hata mi naonanpo....majira yamenificha tu
hahhaha acha urongo unaona wapi wakati now umejifungia ndani.Hata mi naona
AaahWan
Wanawezakumuua kwa dozi nene
Hehehe wewe mama ni jangiliha ha ha
Kama unaweza panda juu nenda ukazibe.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] hali ya hewa inaruhusu bana naogopa kubebwa na mafurikohahhaha acha urongo unaona wapi wakati now umejifungia ndani.
heheheheh enjoy mwaya...ila boat yetu bado inapiga mzigo fresh nyakati hzi tu so worry out...[emoji12] [emoji12] [emoji12] hali ya hewa inaruhusu bana naogopa kubebwa na mafuriko
Amecopy video ya love me lil Wayne feat.drake and future
CopyView attachment 438255View attachment 438256View attachment 438257
PasteView attachment 438258View attachment 438259View attachment 438261
Faiza Upo na huku..kipindi cha magu hiki hutaki siasa kabsa..au Ben saanane hajapost umjibuKama unaweza panda juu nenda ukazibe.
Anguko lake litakuwa furaha kwa wengi....
Amesahau huko juu tumempandisha ss
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaaaaa
cc The bold
Ungeandika tu...mlengwa ni mimi na ningesoma,hao wengine wakereke kwani wamelazimishwa kusoma?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
No comment!!
Nikijibu hapa nitaandika bonge la gazeti mpaka watu watakereka hahahahaha
Hizi ni 'Kokoro' [emoji6]
Subiri nitaandika bonge la gazeti hapa hahahah!!Ungeandika tu...mlengwa ni mimi na ningesoma,hao wengine wakereke kwani wamelazimishwa kusoma?
Hiyo kokoro naisikia tu...maybe nitautafuta sababu ya Rich Mavoko.
Namkubaligi jamaa design [emoji6],hajawahi kutoa boko.
Hii sijui itakuwaje...
Mbona povu jingi sana ndugu.Kwani akianguka wewe inakuuma Nini? Kwanini usingekomaa na maisha yako ya kila siku ya kutafutia chakula watoto wako. Watanzania wengine ni wa ajabu sana.
Yeye binafsi simkubali...ila zipo baadhi ya nyimbo zake nazipenda hasa za zamani.Subiri nitaandika bonge la gazeti hapa hahahah!!
Hata chibu najua unamkubali kimya kimya.. [emoji23]
Mkuu maharage ya wapi umekulaHabari zenu wakuu.
Kwa jinsi upepo unavyovuma sina budi kusema kwamba huyu kijanaa mwenzetu kutoka tandale anaelekea kuanguakia pua kama ilivyotokea kwa msanii mwenzake Mr nice( Lucas mkenda),sababu kubwa itakayofanya huyu kijana wetu aanguke mshindo mkubwa ni kulewa sifa kiasi kwamba anatumia umaarufu wake kutoa nyimbo ambazo hazina viwango.
Kitu kingine ni kwamba inaonekana huyu bwana mdogo anatumia nguvu na ukubwa wa timu yake kusambaza nyimbo ambazo ziko chini ya kiwango kitu ambacho ni makosa makubwa kwasababu sisi ambao hatuna timu au hatuko kwenye timu yake ni rahisi sana kuona ubovu wa nyimbo zake kwasababu tunatumia akili zetu kuchambua tofauti na members wa timu yake ambao hutumia mihemko.
Kitu kingine anachofanya huyu kijana ambacho sio kizuri ni kutumia nguvu kubwa kwenye video ili kuficha ubovu wa audio kitu ambacho kwa upande mwingine kinapelekea kuwanyima haki ya kusikiliza mziki mzuri wale wasiotizama video zake.
Mwisho.
Diamond alikuja vizuri sana lakini huko anakoenda kuna giza nene lisiloelezeka, kwani kwa hizi nyimbo zake mbili mpya za yeye na Neyo na rich mavoko zinaashiria kwamba graph yake inashuka kwa kasi.
Namshauri aangalie sana management aliyonayo kwa sasa maana naona huyu "Salam" anafanya umbeya zaidi kuliko kazi anazotakiwa kufanya,pia ikiwezekana siku moja moja afanye nyimbo zake kwenye studio nyingine siyo kila siku "WASAFI RECORD"maana naamini hawawezi kujua kila kitu,pia aache kufanya vitu kwa mazoeya.