Hebu tuache tofauti zetu tujiulize maswaili yafuatayo:
.je ni kushuka kwa maadili ya jamii nzima?
.Je ni mitaala yetu isiyokua na dira?
.je ni sera ya elimu kuwa mbovu?
.je ni ni wataalamu kutokuwa na ubunifu?.
.je ni mazingira ya utumishi kutoruhusu ubunifu?.
.je maslahi ya watumishi hawa yako sahihi?.
.je serikali inafanya tafiti juu ya mabolesho ya elimu?
..
serikali imetelekeza elimu,haina mpango na elimu,imejaa watu wa dili za ajabu ajabu tu,wez wez tu!serikali ombaomba hii haina inaloweza zaidi ya kuzuia maandamano ya chadema bila kujiuliza kwa nn watu wanaandamana
serikali imetelekeza elimu,haina mpango na elimu,imejaa watu wa dili za ajabu ajabu tu,wez wez tu!serikali ombaomba hii haina inaloweza zaidi ya kuzuia maandamano ya chadema bila kujiuliza kwa nn watu wanaandamana