maswimanga
Senior Member
- Apr 15, 2013
- 159
- 26
Hebu tuache tofauti zetu tujiulize maswaili yafuatayo:
.je ni kushuka kwa maadili ya jamii nzima?
.Je ni mitaala yetu isiyokua na dira?
.je ni sera ya elimu kuwa mbovu?
.je ni ni wataalamu kutokuwa na ubunifu?.
.je ni mazingira ya utumishi kutoruhusu ubunifu?.
.je maslahi ya watumishi hawa yako sahihi?.
.je serikali inafanya tafiti juu ya mabolesho ya elimu?
..
.je ni kushuka kwa maadili ya jamii nzima?
.Je ni mitaala yetu isiyokua na dira?
.je ni sera ya elimu kuwa mbovu?
.je ni ni wataalamu kutokuwa na ubunifu?.
.je ni mazingira ya utumishi kutoruhusu ubunifu?.
.je maslahi ya watumishi hawa yako sahihi?.
.je serikali inafanya tafiti juu ya mabolesho ya elimu?
..