Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #21
Hapana bhana usidanganye uma mliambiwa mtoe elfu 30 ndo mpewe hiyo heshima sio kweli kwamba mmepewa kulingana na michango yenu.Yup...na siko peke yangu mwenye hiyo status.
Waulize na wengine uone wanasemaje.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii ndio sifa pekee iliyokuwa inamtambulisha ndugu Ngabu ila inaenda kupotea taratibu maana kuna wengine kama Paulo Sergio nani sijui nae anatema kikristo kama hana akili nzuri.Una kiingereza murua sana nifanyeje nikufikie ata robo yako
Hapana bhana usidanganye uma mliambiwa mtoe elfu 30 ndo mpewe hiyo heshima sio kweli kwamba mmepewa kulingana na michango yenu.
Ha ha ha ha ha ha,haya bhana haina shidaMimi sijawahi kutoa 30K ya kununulia hiyo status.
Huyu paulo kaenda wapi siku hizi? Long time sijamuona[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii ndio sifa pekee iliyokuwa inamtambulisha ndugu Ngabu ila inaenda kupotea taratibu maana kuna wengine kama Paulo Sergio nani sijui nae anatema kikristo kama hana akili nzuri.
Hiyo elfu 30 unayoikashifu, ndio inakufanya hata wewe uendelee kuwepo jf.Hapana bhana usidanganye uma mliambiwa mtoe elfu 30 ndo mpewe hiyo heshima sio kweli kwamba mmepewa kulingana na michango yenu.
Ha ha ha ha ha ha,haya bhana haina shida
Amebadili jina sasa hivi anatumia jina la Dan Coper kama sikoseiHuyu paulo kaenda wapi siku hizi? Long time sijamuona
Wapi nimeikashifu ?Hiyo elfu 30 unayoikashifu, ndio inakufanya hata wewe uendelee kuwepo jf.
Hivyo heshimu juhudi za watu.
Usipaniki kijana ,ila kwenye ukweli lazima pasemweHutaki sasa?
Wewe ndo nilikupa hiyo 30K?
hahaha mkuu wanasahau upo jf toka 2006And at the same time I'm still repping the set...
Unstoppable baby!
Hicho sio kigezo ,wapo members wengine wengi tu hapa tangu 2006 ila hawajulikani humuhahaha mkuu wanasahau upo jf toka 2006
Ila Hence amepresent takwimu.American boy wata bado wanakungumzia. Hapo umemaliza wamekuelewa ndio maana bado upo kwenye fikra zao. [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hiyo avatar yako nikiambatanisha na ombi lako nahisi huko PM kumesha blast ....Nyani ngabu nataka kuja marekani
Mkuu samahani lakini una malengo gani nacho.Una kiingereza murua sana nifanyeje nikufikie ata robo yako