Anguko la Simba lipo jirani

Anguko la Simba lipo jirani

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Wadau wa soka Tanzania salami kwenu.

Kwa waliofuatilia press mbili , moja ya Mo Dewji siku anaonesha Hundi ya Bilion 20 na press ya Leo ya Semaji Lao Haji Manara watakuwa wameona kitu kinaenda kutokea Msimbazi na anguko Lao lipo jirani Kwa sababu zifuatazo.

1. Uwekezaji wa Mo Dewji pale Simba umekaa Kimagumashi zaidi. Moa Dewji yupo Simba kiujanja ujanja sana na moja ya ishara NI kauli anayoirudiarudia kwamba pale Simba yeye hapati faida. Huu ni ujanja na umagumashi.

2. Kuondoka Kwa Haji Manara. Huyu ni kipenzi cha wana Simba kuliko hata Mo mwenyewe. Ushahid NI maneno ya Haji kuwa Mo amewahi mpigia sim na kumwambia watu Wanasema Haji ni maarufu kuliko Mo. Lakini pia ni mara nyingi wanaSimba wamekuwa wakitaka Mo aondoke Simba lakini hawajawahi kutaka Haji aondoke.

3. Uwepo wa Barbra . Huyu bosi inaonekana yupo pale Kwa kazi maalum ya kuhakikisha analinda maslahi ya Mo klabuni na ndio maana anafanya kila analoweza kuhakikisha hili. Barbara anamtumikia Mo na si Simba.

4. Presha ya matokeo. Kuondoka Kwa Haji Manara kumezidisha presha ya matokeo pale Simba hasa katika michuano ya kimataifa. Haji Manara alikuwa na mchango mkubwa wa kuwajenga wanaSimba Kisaikolojia kitu ambacho Kamwaga hana kipaji hicho. SIMBA itapofanya vibaya itaonekana hamasa ndani ya timu imeshuka na Simba imepoa.

5. Utamaduni wa soka la Tanzania. Ilivyo miaka nenda rudi mapacha wa kariakoo hupeana zam za kutamba na hapajapata kutokea mapacha hawa wakawa na mafanikio Kwa wakati mmoja. Hili japo ni dogo Ila linaleta dalili za anguko la Simba.
 
Wadau wa soka Tanzania salami kwenu.

Kwa waliofuatilia press mbili , moja ya Mo Dewji siku anaonesha Hundi ya Bilion 20 na press ya Leo ya Semaji Lao Haji Manara watakuwa wameona kitu kinaenda kutokea Msimbazi na anguko Lao lipo jirani Kwa sababu zifuatazo.

1. Uwekezaji wa Mo Dewji pale Simba umekaa Kimagumashi zaidi. Moa Dewji yupo Simba kiujanja ujanja sana na moja ya ishara NI kauli anayoirudiarudia kwamba pale Simba yeye hapati faida. Huu ni ujanja na umagumashi.

2. Kuondoka Kwa Haji Manara. Huyu ni kipenzi cha wana Simba kuliko hata Mo mwenyewe. Ushahid NI maneno ya Haji kuwa Mo amewahi mpigia sim na kumwambia watu Wanasema Haji ni maarufu kuliko Mo. Lakini pia ni mara nyingi wanaSimba wamekuwa wakitaka Mo aondoke Simba lakini hawajawahi kutaka Haji aondoke.

3. Uwepo wa Barbra . Huyu bosi inaonekana yupo pale Kwa kazi maalum ya kuhakikisha analinda maslahi ya Mo klabuni na ndio maana anafanya kila analoweza kuhakikisha hili. Barbara anamtumikia Mo na si Simba.

4. Presha ya matokeo. Kuondoka Kwa Haji Manara kumezidisha presha ya matokeo pale Simba hasa katika michuano ya kimataifa. Haji Manara alikuwa na mchango mkubwa wa kuwajenga wanaSimba Kisaikolojia kitu ambacho Kamwaga hana kipaji hicho. SIMBA itapofanya vibaya itaonekana hamasa ndani ya timu imeshuka na Simba imepoa.

5. Utamaduni wa soka la Tanzania. Ilivyo miaka nenda rudi mapacha wa kariakoo hupeana zam za kutamba na hapajapata kutokea mapacha hawa wakawa na mafanikio Kwa wakati mmoja. Hili japo ni dogo Ila linaleta dalili za anguko la Simba.
Utopolo mnahangaika sana, uwekezaji wa Mo Simba umekuwa mwiba mchungu kwenu,naona leo mumemuandalia yule domokaya press na kumpa mabodigadi wanne wamlinde. Mnafeli wapi Utopolo? Mtasubiri sana
 
4. Presha ya matokeo. Kuondoka Kwa Haji Manara kumezidisha presha ya matokeo pale Simba hasa katika michuano ya kimataifa. Haji Manara alikuwa na mchango mkubwa wa kuwajenga wanaSimba Kisaikolojia kitu ambacho Kamwaga hana kipaji hicho. SIMBA itapofanya vibaya itaonekana hamasa ndani ya timu imeshuka na Simba imepoa. Mkuu wachezaji hawajalipwa mishahara yao plus hakuna bonus kwa ulimwengu wa sasa unafikiri hiyo hamasa ndo itabadirisha matokea au mood ya wachezaji ....mpira siku hizi ni biashara
 
Wadau wa soka Tanzania salami kwenu.

Kwa waliofuatilia press mbili , moja ya Mo Dewji siku anaonesha Hundi ya Bilion 20 na press ya Leo ya Semaji Lao Haji Manara watakuwa wameona kitu kinaenda kutokea Msimbazi na anguko Lao lipo jirani Kwa sababu zifuatazo.

1. Uwekezaji wa Mo Dewji pale Simba umekaa Kimagumashi zaidi. Moa Dewji yupo Simba kiujanja ujanja sana na moja ya ishara NI kauli anayoirudiarudia kwamba pale Simba yeye hapati faida. Huu ni ujanja na umagumashi.

2. Kuondoka Kwa Haji Manara. Huyu ni kipenzi cha wana Simba kuliko hata Mo mwenyewe. Ushahid NI maneno ya Haji kuwa Mo amewahi mpigia sim na kumwambia watu Wanasema Haji ni maarufu kuliko Mo. Lakini pia ni mara nyingi wanaSimba wamekuwa wakitaka Mo aondoke Simba lakini hawajawahi kutaka Haji aondoke.

3. Uwepo wa Barbra . Huyu bosi inaonekana yupo pale Kwa kazi maalum ya kuhakikisha analinda maslahi ya Mo klabuni na ndio maana anafanya kila analoweza kuhakikisha hili. Barbara anamtumikia Mo na si Simba.

4. Presha ya matokeo. Kuondoka Kwa Haji Manara kumezidisha presha ya matokeo pale Simba hasa katika michuano ya kimataifa. Haji Manara alikuwa na mchango mkubwa wa kuwajenga wanaSimba Kisaikolojia kitu ambacho Kamwaga hana kipaji hicho. SIMBA itapofanya vibaya itaonekana hamasa ndani ya timu imeshuka na Simba imepoa.

5. Utamaduni wa soka la Tanzania. Ilivyo miaka nenda rudi mapacha wa kariakoo hupeana zam za kutamba na hapajapata kutokea mapacha hawa wakawa na mafanikio Kwa wakati mmoja. Hili japo ni dogo Ila linaleta dalili za anguko la Simba.
Hizi ndio akili za watu wengi Tanzania wapo ki-EMOTIONAL zaidi kuliko kutumia akili zao

Yaani simba itakufa kwasababu ya HAJI ...really

Uwekazai aliofanya JAMAA MO hata kama watu wengi hawampendi lkn amefanya jambo kubwa hakuna tajiri anaweza kufanya hapo awali sababu SIMBA yaleo sio ile aliye ikuta MO.

Watu wanao mjua HAJI wala hawahangaiki naye sababu wanamjua fika wala haitachukua muda kuaribu huko alipo sasa au hao wanao MFINANCE kwa sasa.
 
Wadau wa soka Tanzania salami kwenu.

Kwa waliofuatilia press mbili , moja ya Mo Dewji siku anaonesha Hundi ya Bilion 20 na press ya Leo ya Semaji Lao Haji Manara watakuwa wameona kitu kinaenda kutokea Msimbazi na anguko Lao lipo jirani Kwa sababu zifuatazo.

1. Uwekezaji wa Mo Dewji pale Simba umekaa Kimagumashi zaidi. Moa Dewji yupo Simba kiujanja ujanja sana na moja ya ishara NI kauli anayoirudiarudia kwamba pale Simba yeye hapati faida. Huu ni ujanja na umagumashi.

2. Kuondoka Kwa Haji Manara. Huyu ni kipenzi cha wana Simba kuliko hata Mo mwenyewe. Ushahid NI maneno ya Haji kuwa Mo amewahi mpigia sim na kumwambia watu Wanasema Haji ni maarufu kuliko Mo. Lakini pia ni mara nyingi wanaSimba wamekuwa wakitaka Mo aondoke Simba lakini hawajawahi kutaka Haji aondoke.

3. Uwepo wa Barbra . Huyu bosi inaonekana yupo pale Kwa kazi maalum ya kuhakikisha analinda maslahi ya Mo klabuni na ndio maana anafanya kila analoweza kuhakikisha hili. Barbara anamtumikia Mo na si Simba.

4. Presha ya matokeo. Kuondoka Kwa Haji Manara kumezidisha presha ya matokeo pale Simba hasa katika michuano ya kimataifa. Haji Manara alikuwa na mchango mkubwa wa kuwajenga wanaSimba Kisaikolojia kitu ambacho Kamwaga hana kipaji hicho. SIMBA itapofanya vibaya itaonekana hamasa ndani ya timu imeshuka na Simba imepoa.

5. Utamaduni wa soka la Tanzania. Ilivyo miaka nenda rudi mapacha wa kariakoo hupeana zam za kutamba na hapajapata kutokea mapacha hawa wakawa na mafanikio Kwa wakati mmoja. Hili japo ni dogo Ila linaleta dalili za anguko la Simba.
Nendeni mkashitaki CAS ili Mo anyang'anywe hizo hisa,maana mumekuwa kero.
 
Mtasubiri sana. Ni sawa mnapiga teke chura. Mwambieni awe anafanya hizo press kila week. Huwezi kushindana na mwenye hela au madaraka bana.
Kama wa maana mchukueni akae na senzo wake kama atawasaidia tuone.
 
Wadau wa soka Tanzania salami kwenu.

Kwa waliofuatilia press mbili , moja ya Mo Dewji siku anaonesha Hundi ya Bilion 20 na press ya Leo ya Semaji Lao Haji Manara watakuwa wameona kitu kinaenda kutokea Msimbazi na anguko Lao lipo jirani Kwa sababu zifuatazo.

1. Uwekezaji wa Mo Dewji pale Simba umekaa Kimagumashi zaidi. Moa Dewji yupo Simba kiujanja ujanja sana na moja ya ishara NI kauli anayoirudiarudia kwamba pale Simba yeye hapati faida. Huu ni ujanja na umagumashi.

2. Kuondoka Kwa Haji Manara. Huyu ni kipenzi cha wana Simba kuliko hata Mo mwenyewe. Ushahid NI maneno ya Haji kuwa Mo amewahi mpigia sim na kumwambia watu Wanasema Haji ni maarufu kuliko Mo. Lakini pia ni mara nyingi wanaSimba wamekuwa wakitaka Mo aondoke Simba lakini hawajawahi kutaka Haji aondoke.

3. Uwepo wa Barbra . Huyu bosi inaonekana yupo pale Kwa kazi maalum ya kuhakikisha analinda maslahi ya Mo klabuni na ndio maana anafanya kila analoweza kuhakikisha hili. Barbara anamtumikia Mo na si Simba.

4. Presha ya matokeo. Kuondoka Kwa Haji Manara kumezidisha presha ya matokeo pale Simba hasa katika michuano ya kimataifa. Haji Manara alikuwa na mchango mkubwa wa kuwajenga wanaSimba Kisaikolojia kitu ambacho Kamwaga hana kipaji hicho. SIMBA itapofanya vibaya itaonekana hamasa ndani ya timu imeshuka na Simba imepoa.

5. Utamaduni wa soka la Tanzania. Ilivyo miaka nenda rudi mapacha wa kariakoo hupeana zam za kutamba na hapajapata kutokea mapacha hawa wakawa na mafanikio Kwa wakati mmoja. Hili japo ni dogo Ila linaleta dalili za anguko la Simba.
Asante kwa taarifa
Ngoja tusubiri anguko
 
4. Presha ya matokeo. Kuondoka Kwa Haji Manara kumezidisha presha ya matokeo pale Simba hasa katika michuano ya kimataifa. Haji Manara alikuwa na mchango mkubwa wa kuwajenga wanaSimba Kisaikolojia kitu ambacho Kamwaga hana kipaji hicho. SIMBA itapofanya vibaya itaonekana hamasa ndani ya timu imeshuka na Simba imepoa. Mkuu wachezaji hawajalipwa mishahara yao plus hakuna bonus kwa ulimwengu wa sasa unafikiri hiyo hamasa ndo itabadirisha matokea au mood ya wachezaji ....mpira siku hizi ni biashara
Manara anacheza nafasi gani uwanjani?
 
Hizi ndio akili za watu wengi Tanzania wapo ki-EMOTIONAL zaidi kuliko kutumia akili zao

Yaani simba itakufa kwasababu ya HAJI ...really

Uwekazai aliofanya JAMAA MO hata kama watu wengi hawampendi lkn amefanya jambo kubwa hakuna tajiri anaweza kufanya hapo awali sababu SIMBA yaleo sio ile aliye ikuta MO.

Watu wanao mjua HAJI wala hawahangaiki naye sababu wanamjua fika wala haitachukua muda kuaribu huko alipo sasa au hao wanao MFINANCE kwa sasa.
Huyu ni tapeli tu
JamiiForums289186523.jpg
 
Wadau wa soka Tanzania salami kwenu.

Kwa waliofuatilia press mbili , moja ya Mo Dewji siku anaonesha Hundi ya Bilion 20 na press ya Leo ya Semaji Lao Haji Manara watakuwa wameona kitu kinaenda kutokea Msimbazi na anguko Lao lipo jirani Kwa sababu zifuatazo.

1. Uwekezaji wa Mo Dewji pale Simba umekaa Kimagumashi zaidi. Moa Dewji yupo Simba kiujanja ujanja sana na moja ya ishara NI kauli anayoirudiarudia kwamba pale Simba yeye hapati faida. Huu ni ujanja na umagumashi.

2. Kuondoka Kwa Haji Manara. Huyu ni kipenzi cha wana Simba kuliko hata Mo mwenyewe. Ushahid NI maneno ya Haji kuwa Mo amewahi mpigia sim na kumwambia watu Wanasema Haji ni maarufu kuliko Mo. Lakini pia ni mara nyingi wanaSimba wamekuwa wakitaka Mo aondoke Simba lakini hawajawahi kutaka Haji aondoke.

3. Uwepo wa Barbra . Huyu bosi inaonekana yupo pale Kwa kazi maalum ya kuhakikisha analinda maslahi ya Mo klabuni na ndio maana anafanya kila analoweza kuhakikisha hili. Barbara anamtumikia Mo na si Simba.

4. Presha ya matokeo. Kuondoka Kwa Haji Manara kumezidisha presha ya matokeo pale Simba hasa katika michuano ya kimataifa. Haji Manara alikuwa na mchango mkubwa wa kuwajenga wanaSimba Kisaikolojia kitu ambacho Kamwaga hana kipaji hicho. SIMBA itapofanya vibaya itaonekana hamasa ndani ya timu imeshuka na Simba imepoa.

5. Utamaduni wa soka la Tanzania. Ilivyo miaka nenda rudi mapacha wa kariakoo hupeana zam za kutamba na hapajapata kutokea mapacha hawa wakawa na mafanikio Kwa wakati mmoja. Hili japo ni dogo Ila linaleta dalili za anguko la Simba.
Watakuja hapa kukutukana ila usiwajibu,muda tu ndio utakaowajibu
 
Kila msimu na staili yake .Umuhimu wa Manara kwa Simba umeshapita,wakati hauruhusu.Ila Simba itaendelea kuwepo na kuchukua makombe.
 
Back
Top Bottom