Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka hushahidi hapa wa uo uhakika wako?Lakini nina uhakika Haji Manara kakuzidi pesa na Umaarufu
Mmoja kajitokeza hapa tayari, tujadili hoja achana na personalitiesLeo mayanga njaa mwenzenu kawa wa maana coz tumemtimua baada ya kumshtukia?..ilifika hatua mlimkashifu hadi juunya ulemavu wake wa ngozi leo kawa mzuri?..timu ianguke coz ya MSEMAJI?..narrow mind I can't argue.
Hutawaona kamwe subiri washinde waanze kukung'ong'aTuendelee na mjadala
Heheheh lkn wanasema uwanja ulikua mbovu. Lkn vipigo vya kwa mkapa wanakwambia mugalu alikua anapaisha maksudi.Tuendelee na mjadala
Hatimaye yametimia! Hongera sana mtoa mada kwa utabiri wako mzuri. Ukiona timu inakosa penati yenye utata dk za nyongeza, basi ujue huu msimu utakua mgumu sana.Wadau wa soka Tanzania salami kwenu.
Kwa waliofuatilia press mbili , moja ya Mo Dewji siku anaonesha Hundi ya Bilion 20 na press ya Leo ya Semaji Lao Haji Manara watakuwa wameona kitu kinaenda kutokea Msimbazi na anguko Lao lipo jirani Kwa sababu zifuatazo.
1. Uwekezaji wa Mo Dewji pale Simba umekaa Kimagumashi zaidi. Moa Dewji yupo Simba kiujanja ujanja sana na moja ya ishara NI kauli anayoirudiarudia kwamba pale Simba yeye hapati faida. Huu ni ujanja na umagumashi.
2. Kuondoka Kwa Haji Manara. Huyu ni kipenzi cha wana Simba kuliko hata Mo mwenyewe. Ushahid NI maneno ya Haji kuwa Mo amewahi mpigia sim na kumwambia watu Wanasema Haji ni maarufu kuliko Mo. Lakini pia ni mara nyingi wanaSimba wamekuwa wakitaka Mo aondoke Simba lakini hawajawahi kutaka Haji aondoke.
3. Uwepo wa Barbra . Huyu bosi inaonekana yupo pale Kwa kazi maalum ya kuhakikisha analinda maslahi ya Mo klabuni na ndio maana anafanya kila analoweza kuhakikisha hili. Barbara anamtumikia Mo na si Simba.
4. Presha ya matokeo. Kuondoka Kwa Haji Manara kumezidisha presha ya matokeo pale Simba hasa katika michuano ya kimataifa. Haji Manara alikuwa na mchango mkubwa wa kuwajenga wanaSimba Kisaikolojia kitu ambacho Kamwaga hana kipaji hicho. SIMBA itapofanya vibaya itaonekana hamasa ndani ya timu imeshuka na Simba imepoa.
5. Utamaduni wa soka la Tanzania. Ilivyo miaka nenda rudi mapacha wa kariakoo hupeana zam za kutamba na hapajapata kutokea mapacha hawa wakawa na mafanikio Kwa wakati mmoja. Hili japo ni dogo Ila linaleta dalili za anguko la Simba.
Ile penati ilikua ya utata kumbeHatimaye yametimia! Hongera sana mtoa mada kwa utabiri wako mzuri. Ukiona timu inakosa penati yenye utata dk za nyongeza, basi ujue huu msimu utakua mgumu sana.
Ndiyo, hujaona jamaa alicheza mpira?Ile penati ilikua ya utata kumbe
Kwa sisi wana Simba, hata utuite sasa hivi baada ya kutolewa na Galaxy na utuulize kama tunahitaji uwekezaji wa MO, wote tutapiga kura za "ndiyo"!Wadau wa soka Tanzania salami kwenu.
Kwa waliofuatilia press mbili , moja ya Mo Dewji siku anaonesha Hundi ya Bilion 20 na press ya Leo ya Semaji Lao Haji Manara watakuwa wameona kitu kinaenda kutokea Msimbazi na anguko Lao lipo jirani Kwa sababu zifuatazo.
1. Uwekezaji wa Mo Dewji pale Simba umekaa Kimagumashi zaidi. Moa Dewji yupo Simba kiujanja ujanja sana na moja ya ishara NI kauli anayoirudiarudia kwamba pale Simba yeye hapati faida. Huu ni ujanja na umagumashi.
2. Kuondoka Kwa Haji Manara. Huyu ni kipenzi cha wana Simba kuliko hata Mo mwenyewe. Ushahid NI maneno ya Haji kuwa Mo amewahi mpigia sim na kumwambia watu Wanasema Haji ni maarufu kuliko Mo. Lakini pia ni mara nyingi wanaSimba wamekuwa wakitaka Mo aondoke Simba lakini hawajawahi kutaka Haji aondoke.
3. Uwepo wa Barbra . Huyu bosi inaonekana yupo pale Kwa kazi maalum ya kuhakikisha analinda maslahi ya Mo klabuni na ndio maana anafanya kila analoweza kuhakikisha hili. Barbara anamtumikia Mo na si Simba.
4. Presha ya matokeo. Kuondoka Kwa Haji Manara kumezidisha presha ya matokeo pale Simba hasa katika michuano ya kimataifa. Haji Manara alikuwa na mchango mkubwa wa kuwajenga wanaSimba Kisaikolojia kitu ambacho Kamwaga hana kipaji hicho. SIMBA itapofanya vibaya itaonekana hamasa ndani ya timu imeshuka na Simba imepoa.
5. Utamaduni wa soka la Tanzania. Ilivyo miaka nenda rudi mapacha wa kariakoo hupeana zam za kutamba na hapajapata kutokea mapacha hawa wakawa na mafanikio Kwa wakati mmoja. Hili japo ni dogo Ila linaleta dalili za anguko la Simba.
Simba ilifikia hata kugombea nafasi isishuke daraja.Huu ni utabiri ambao bila Shaka unaonekana kutimia.
Simba imefikia hatua ya kualikwa mechi ya kirafiki na timu ya Manyoni Secondary School, ujue ndo dalili zenyewe.Simba ilifikia hata kugombea nafasi isishuke daraja.
Sasa kwa Simba hii inayogombea ubingwa,
Hilo anguko lipo wapi?
Hizo ni ramli tu zinazopigwa na moshi wa bangi.
Hakuna ukwl wowote.