Anguko la Wema Sepetu

Anguko la Wema Sepetu

Ila anatia aibu Jaman, kutoka kuwa First class, A-List super star hadi kuangukia pua, Wema ndo kawa wa kutangaza matangazo ya waganga jamani? Like seriously? Ina maana hata Hamisa Mobetto kampiku akili? Mwenzie yuko anafanya ma deal makubwa na kina Rick Ross, makampuni ya maana hapa Tz , shoga yenu yuko busy na matangazo ya waganga na nguvu za kiume, what a shame , hayo madawa ya kulevya anayotumia yanampeleka pabaya, nasikia anatafuta pesa ya kodi masikini .

Yaani Wema sasa hivi yuko level moja na kina Lokole na Carry mastory wanashindana matangazo ya elfu 20.

Yani linajishushia hadhi sana, with more than 8million followers, watu kibao wa maana wanamfollow halafu anachafua page yake na matangazo ya kipumbavu shame on her, ndo mambo anayomshauri Martin Kadinda Hayo mxeeiw, yani mpaka diva atakuja kumpiku wemaView attachment 1818589
Nakubaliana na wewe 100% kuhusu Wema lakini hata huyo Hamisa ni matter of time atamjoin Wema. Sioni biashara endelevu aliyonayo itakayoweza kumlinda in future. Short-term deals, Sponsorships, maduka ya nguo ni seasonal.
 
Pesa wanayopewa huishia kwenye nguo, manukato, kukaa sehemu za starehe za gharama, kununua simu kali, kukaa appartment mikocheni au msasani dola 1500/month nk. Hapo unatarajia atafanya maendeleo kwa pesa ipi? Halafu hawapewi pesa nyingi, unakuta unaspend nae humalizi milioni yani kimsingi wanaishia kupata hela ya kawaida tu ndio maana lazima apigwe mshedede kwa wiki hata Mara tano.
Mbona huko kudanga kwao sasa ni utumwa aisee u risk maisha na papuchi bwawa kwa hela mbuzi si Bora tu ujishighulishe na hapo bado kulalwa na wanaume wa tofauti tofauti wanaokupa tu gundu.
Hafu kwanini ukae kwa apartment ghali huku ukitegemea uchi loh
 
Pesa wanayopewa huishia kwenye nguo, manukato, kukaa sehemu za starehe za gharama, kununua simu kali, kukaa appartment mikocheni au msasani dola 1500/month nk. Hapo unatarajia atafanya maendeleo kwa pesa ipi? Halafu hawapewi pesa nyingi, unakuta unaspend nae humalizi milioni yani kimsingi wanaishia kupata hela ya kawaida tu ndio maana lazima apigwe mshedede kwa wiki hata Mara tano.
[emoji848][emoji87]aiseee bora uuze hata karanga tu! Looo[emoji119]
 
Binamu,huwa hatuwaiti waganga bali wanaitwa wataalamu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani shule si ya kila mtu, wengine wanamaliza form IV hawajui kuandika essays. Waangalie kipaji cha Paula kama ni kupika au charahani wamuendeleze.
Kabisaaa kashasema anapenda mambo ya fashion na modelling ni bora wampeleke hukoo!!!
 
Elimu ndio kila kitu especially umri ukisogea, aangalie akina Hoyce Temu na JoJo kama unavyosema au wengi tu akina Sylvia Bahame etc walipoacha ujana elimu zimewabeba sana.

Kajala ni shuleless na anampoteza mwanae kweupe kabisa wakati yeye ameshaona effect ya kutoweka akiba ya elimu .

Binti anaweza kuendelea na mambo ya ujana sababu umri unamruhusu Ila isimfanye apoteze thamani yake kwa kufanya ujinga na kuishia kwenye bongo muvi especially sasa wanataka kuanzisha reality show yao ambayo maana yake binti ndio shule baibai.

Well, wacha aiuze maana wadau tupo na nakavizia kashuke bei kidogo [emoji2] sasa hivi mambo ya kupelekana Dubai tunawaachia wenye viherehere kwanza.
Dubai wapi bwana
Andaa show money ya kuzubaishia, kabla hajashtuka ulishampulia kisogoni
 
Sylvia akimaliza UDSM law mwaka 2006 na anapiga kazi town amejizalia watoto maisha yanasonga.

Angela Damas aliolewa pia akimaliza UDSM akawa muda fulani anafanya Voda then akahamia wapi sijui Ila Yuko poa life ya uzeeni inaenda poa maana shule anayo.

Kuna mwingine alikuwa anaitwa sijui nani Jensen nae alikuwa mkali sana aliajiriwa Voda nadhani nae anapiga ishu zake professionally maana hayuko kwenye media.

Richa Adhia nahisi wahindi wenzie walimpa shavu.

Hawa ni mabinti ambao walijua kuweka akiba ya shule. Ulimbwende huwa unaisha sasa usipotumia ulimbwende kupata kazi nzuri siku ukiisha unabaki kama Wema tu analiwa Hadi na wajinga hajielewi mpaka leo yeye anasema ana miaka 28.

Hana namna maana papuchi ishakuwa loose.

Kuna nargis Mohamed
 
Nakubaliana na wewe 100% kuhusu Wema lakini hata huyo Hamisa ni matter of time atamjoin Wema. Sioni biashara endelevu aliyonayo itakayoweza kumlinda in future. Short-term deals, Sponsorships, maduka ya nguo ni seasonal.

Very true
 
Pesa wanayopewa huishia kwenye nguo, manukato, kukaa sehemu za starehe za gharama, kununua simu kali, kukaa appartment mikocheni au msasani dola 1500/month nk. Hapo unatarajia atafanya maendeleo kwa pesa ipi? Halafu hawapewi pesa nyingi, unakuta unaspend nae humalizi milioni yani kimsingi wanaishia kupata hela ya kawaida tu ndio maana lazima apigwe mshedede kwa wiki hata Mara tano.
Dah,nahisi hata hizo "K" zao hamna kitu basi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nilidhani page yake wame hack, kumbe yeye anatangaza kweli lol,
Maskini wema ndo kaishia huku khaaah.
 
Sylvia akimaliza UDSM law mwaka 2006 na anapiga kazi town amejizalia watoto maisha yanasonga.

Angela Damas aliolewa pia akimaliza UDSM akawa muda fulani anafanya Voda then akahamia wapi sijui Ila Yuko poa life ya uzeeni inaenda poa maana shule anayo.

Kuna mwingine alikuwa anaitwa sijui nani Jensen nae alikuwa mkali sana aliajiriwa Voda nadhani nae anapiga ishu zake professionally maana hayuko kwenye media.

Richa Adhia nahisi wahindi wenzie walimpa shavu.

Hawa ni mabinti ambao walijua kuweka akiba ya shule. Ulimbwende huwa unaisha sasa usipotumia ulimbwende kupata kazi nzuri siku ukiisha unabaki kama Wema tu analiwa Hadi na wajinga hajielewi mpaka leo yeye anasema ana miaka 28.

Hana namna maana papuchi ishakuwa loose.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila anatia aibu Jaman, kutoka kuwa First class, A-List super star hadi kuangukia pua, Wema ndo kawa wa kutangaza matangazo ya waganga jamani? Like seriously? Ina maana hata Hamisa Mobetto kampiku akili? Mwenzie yuko anafanya ma deal makubwa na kina Rick Ross, makampuni ya maana hapa Tz , shoga yenu yuko busy na matangazo ya waganga na nguvu za kiume, what a shame , hayo madawa ya kulevya anayotumia yanampeleka pabaya, nasikia anatafuta pesa ya kodi masikini .

Yaani Wema sasa hivi yuko level moja na kina Lokole na Carry mastory wanashindana matangazo ya elfu 20.

Yani linajishushia hadhi sana, with more than 8million followers, watu kibao wa maana wanamfollow halafu anachafua page yake na matangazo ya kipumbavu shame on her, ndo mambo anayomshauri Martin Kadinda Hayo mxeeiw, yani mpaka diva atakuja kumpiku wemaView attachment 1818589
Hela haiachwi hata kama buku
 
Diamond muonee huruma Wema ana mchango katika maisha yako, msitiri hata kwa kumfungulia duka Kariakoo auze nguo za jumla , atakushukuru Sana maana kwasasa yupo level na kina Amberutty ,yaani Hamisa yupo level nyingine kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom