Anguko la Wema Sepetu

Anguko la Wema Sepetu

Kumla kajala lazima Paula nae uonje Paula Ni bonus[emoji1787][emoji1]
Na kale ndio kapo kwenye soko sasa hivi, wauza K wameshajua dogo ndio anawatoa kwenye soko.

Akina menina washatoka kwenye soko, menina ni wa kuomba laki mbili aliwe kweli?
 
Uniulize nini wakati uko busy kufuatilia maisha ya wenzako? Wewe Mambo ya Wema yanakuhusu nini?? Isitoshe yanakupunguzia au kukuongezea nini?

Ebu angalia nani anasema niko busy kufuatilia maisha ya watu? Wewe humu umekuja kutawazwa au kulalwa? Mzandiki mkubwa wewe mwanaharamu Mbea uliyekubuhu mxieeww wasiofuatilia maisha ya watu huwez kuwakuta humu shenzi type mbwa koko wewe
 
Sylvia akimaliza UDSM law mwaka 2006 na anapiga kazi town amejizalia watoto maisha yanasonga.

Angela Damas aliolewa pia akimaliza UDSM akawa muda fulani anafanya Voda then akahamia wapi sijui Ila Yuko poa life ya uzeeni inaenda poa maana shule anayo.

Kuna mwingine alikuwa anaitwa sijui nani Jensen nae alikuwa mkali sana aliajiriwa Voda nadhani nae anapiga ishu zake professionally maana hayuko kwenye media.

Richa Adhia nahisi wahindi wenzie walimpa shavu.

Hawa ni mabinti ambao walijua kuweka akiba ya shule. Ulimbwende huwa unaisha sasa usipotumia ulimbwende kupata kazi nzuri siku ukiisha unabaki kama Wema tu analiwa Hadi na wajinga hajielewi mpaka leo yeye anasema ana miaka 28.

Hana namna maana papuchi ishakuwa loose.
Usimsahau Nancy Sumari
 
Na kale ndio kapo kwenye soko sasa hivi, wauza K wameshajua dogo ndio anawatoa kwenye soko.

Akina menina washatoka kwenye soko, menina ni wa kuomba laki mbili aliwe kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Simjui huyo Wema unayemsema lakini kama ni huyo hapo kwenye picha mimi naona ako poa tu. After all mwenyewe anaoneka yupo happy kabisa bidada wa watu.

Anayeteseka - definitely - ni wewe hapo ambaye hadi umekuja huku JF kumfungulia uzi!
Eti changu muingine ana deal na Rick Ross,aloo acheni usenge huo nyambafu zenu,hamisa hata choo cha Rick Ross hatakiona.
HukoYaani usengesenge tu na uffala.
Muache ujinga
 
Na kale ndio kapo kwenye soko sasa hivi, wauza K wameshajua dogo ndio anawatoa kwenye soko.

Akina menina washatoka kwenye soko, menina ni wa kuomba laki mbili aliwe kweli?
Menina kamuomba nani mkuu..ndo anavyolika seriously?..200k?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeh kwani hajapangwa 4m 5 shule yeyote? Post si zishatoka?
[emoji3][emoji16][emoji16]shoo!usinichekeshe apangwe wapi wakati karisit!Paula alipaswa amalize form four 2018 sambamba na Sonia mtoto wa Monalisa,akapata Div 4 ya 26 ndo akapelekwa Boarding Shinyanga kurisit(nadhani shytown alipashindwa) baadae akaenda St.Anne Maria kumalizia akarisit amepata Credit Ila form 5 labda private but gvt big nehii!!
 
[emoji3][emoji16][emoji16]shoo!usinichekeshe apangwe wapi wakati karisit!Paula alipaswa amalize form four 2018 sambamba na Sonia mtoto wa Monalisa,akapata Div 4 ya 26 ndo akapelekwa Boarding Shinyanga kurisit(nadhani shytown alipashindwa) baadae akaenda St.Anne Maria kumalizia akarisit amepata Credit Ila form 5 labda private but gvt big nehii!!
Duuuuh hii hatareeeh sana, sasa bora waangaalie mpango mwingne kuhusu safari ya elimu yake, sio kwa kudanga jaman khaaaah.
 
View attachment 1821696
Ila anatia aibu Jaman, kutoka kuwa First class, A-List super star hadi kuangukia pua, Wema ndo kawa wa kutangaza matangazo ya waganga jamani? Like seriously? Ina maana hata Hamisa Mobetto kampiku akili? Mwenzie yuko anafanya ma deal makubwa na kina Rick Ross, makampuni ya maana hapa Tz , shoga yenu yuko busy na matangazo ya waganga na nguvu za kiume, what a shame , hayo madawa ya kulevya anayotumia yanampeleka pabaya, nasikia anatafuta pesa ya kodi masikini .

Yaani Wema sasa hivi yuko level moja na kina Lokole na Carry mastory wanashindana matangazo ya elfu 20.

Yani linajishushia hadhi sana, with more than 8million followers, watu kibao wa maana wanamfollow halafu anachafua page yake na matangazo ya kipumbavu shame on her, ndo mambo anayomshauri Martin Kadinda Hayo mxeeiw, yani mpaka diva atakuja kumpiku wemaView attachment 1818589
Wakati bro ni ukuta

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom