Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Watanzania wengi huwa na lengo la kuupata uongozi katika soka kwa ajili ya kujijengea mazingira mazuri ya kisiasa na ya kibiashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wengi huwa na lengo la kuupata uongozi katika soka kwa ajili ya kujijengea mazingira mazuri ya kisiasa na ya kibiashara
Kwq habari zilizopo muda wowote huyu hersi anaaga pale jangwani ndani ya miezi hii mitatu usipomkuta kongwa basi utamuona kigamboniHaya sasa Hersi kamleta Mwenda muda utaongea
Kumbe mpango uko hivyoKwq habari zilizopo muda wowote huyu hersi anaaga pale jangwani ndani ya miezi hii mitatu usipomkuta kongwa basi utamuona kigamboni
1) umekosa tu cha kuandika, kazi ya hersi ni kutoa ela ya usajili ila wakumsajili ni kutokana na mapendekezo ya benchi la ufundi, kila timu kuna kamati ya benchi la ufundi ndo wanaona nani anafaa kusajili eng kazi yake kutekeleza huo usajiliHaya sasa Hersi kamleta Mwenda muda utaongea
Kaazi ya GSM ni ipi1) umekosa tu cha kuandika, kazi ya hersi ni kutoa ela ya usajili ila wakumsajili ni kutokana na mapendekezo ya benchi la ufundi, kila timu kuna kamati ya benchi la ufundi ndo wanaona nani anafaa kusajili eng kazi yake kutekeleza huo usajili
2) yanga haijabadilika sana, wachezaji hawa hawa ndo waliobeba ligi na kwenda nusu fainali club bingwa ulitakiwa kusema timu imechoka sio eng tena
pesa, gsm ni mfadhiliKaazi ya GSM ni ipi
?
Sasa mbona umeandika Hersi ndio mtoa pesa?pesa, gsm ni mfadhili
kwan hersi hujui ni kiiongozi Gsm ama unatchora apa? alafu yanga inendeshwa na GSM sio mtu mmoja, serikali hairuhusu timu kuendeshwa na mtu binafsiSasa mbona umeandika Hersi ndio mtoa pesa?