The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
- Thread starter
-
- #61
Mechi mbili, magoli 10, point 6 na tunaongoza ligi.Hii Yanga ni mbovu sana
Timu Haina fowadi Wala kiungo Mtengenezaji wa magoli
Unajisikiaje SAA hizi?Wakati Simba ikijitafuta kutatua changamoto zake yanga inaamini bado iko salama na huenda wako na hali nzuri zaidi. Niukweli usiofichika katika jicho la wanakabumbu kuwa yanga wana shida kwenye maeneo kadhaa na kuifanya timu hiyo kuwa na changamoto kadhaa.
Yafuatayo ni maeneo yenye walakini kwa Yanga.
1.Safu ya ushambuliaji-Bado yanga inashida kupata mshambuliaji wa aina ya mayele au anaemfikia walau hata nusu. Safu hii ilibebwa sana na Mayele ambae alikua na idadi kubwa kuwazidi washambuliajinwenzake kama msonda na mzize. Ingizo ka Konkoni bado halijaleta mwanga sababu bado hajapewa nafasi ni bora akapewa nafasi ili kupima uwezo wake na kufanya maamuzi kabka dirisha la usajili halijafungwa. Ikitokea likapuuziwa yanga atapata shida mapaja dirisha dogo na timu itakua imeanguka kwenye nafasi yake ha hata kutoka katika mashindano muhimu ya CAF champ.
2.Mbadala wa Bakari ndondo na Aucho. binafsi naona Hawa ni wachezaji muhimu kwenye nafasi zao lakini hakuna mbadala wao hivyo timu itakua kwenye shida endapo itatokea wana tumikia adhabu au majeruhi.
Simba ameamnza kujitibu taratibuu lakini uzuri anajua shida yake na ameanza kuchukua hatua
Mlimda mlango
Beki wa Kati mbadala wa Inonga
Kiungo mkabaji
Nawasilisha maoni yangu Yanga iamke.
Unajisikiaje SAA hizi?
Wenye nafasi yao tayari wameshakaa kileleni. Hivyo mateso na maumivu yako palepale. Na kama huwezi kuvumilia, kunywa sumu ufe.Mnajifariji mmeanza na vibonde hawa kila mtu anafunga sio?
Wenye nafasi yao tayari wameshakaa kileleni. Hivyo mateso na maumivu yako palepale. Na kama huwezi kuvumilia, kunywa sumu ufe.
Wenye nafasi yao tayari wameshakaa kileleni. Hivyo mateso na maumivu yako palepale. Na kama huwezi kuvumilia, kunywa sumu ufe.
Aina ya mpira anaocheza Yanga usithubutu kufunguka, unatakiwa kupaki treni. Approach aliyoingia nayo JKT ilikuwa sahihi kabisa ila wakapotea baada ya kuingia goli wakaona wafunguke ili wasawazishe ndicho kikawakuta 5gTaarabu tu hizo,ngoja mkutane na team inafunguka sio kuweka block
Wengine ni fani zetu hizi mwisho wa siku zinaleta ugali wa familia mezani,Are there bro?
Ngoja tuwatagNipo hapa mtakuja kunikumbuka
Mo amemtapeli nani?Mo ni Tapeli sana
Man cityDuniani kote hakuna timu imekamilika kama ipo itaje
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nimeiona hoja yako Kwa timu zote 2 na nakubaliana nazo zote 2 japo Nina masahihisho kidogo.YANGA Haina.
1. Kiungo mkabaji Jamii ya Bangala mbadala WA Aucho6 .
Pia Aucho ni mzuri zaidi Akicheza juu 8.q1
2.yanga hawana MSHAMBULIAJI no 9.
MBADALA WA Fiston Kalala Mayele.
Wakifika Makundi ndipo wataona madhaifu Yao YOOTE.
Saizi WANAOJUA ni wenye akili wawili tu.
TumekujaNipo hapa mtakuja kunikumbuka
Ni kweliHii Yanga ni mbovu sana
Timu Haina fowadi Wala kiungo Mtengenezaji wa magoli
Mda umefikaNi suala tu la muda atatamani na yeye huu upupu wake ufutwe na Mods, kwa sababu tu ya aibu.