Acha hizo basi nani amkumbuke muuaji kama yuleR.I.P mama,
Mwambie Magufuli kuwa baadhi ya watanzania wameanza kumkumbuka.
.................................Usikute alikuwa ana hitajika kama shahidi kwenye kesi ya Mwizi sabaya
Kweli hakuna umakini pamoja na kuwa JPM halikuwa anaipuuzia lakini team yake ilikuwa makini cha ajabu Mama haipuuzii lakini team yake imepooza sana na hii wave hatari sana kuliko zote, hakuna hata elimu yotote serous inatolewa kuhusu CoronaHakuna u-serious wowote wa kujikinga na Corona utafanikiwa bongo. Solution ni chanjo tu.
Pole sana mkuuKwaheri dada yangu Mungu akipenda tutaonana huko msalimie mama mwambie nampenda πππππ