Anna Makinda: Maafisa wa sensa watakiwa kujitolea kuonyesha uzalendo

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827



Salama wandugu,

Hii nchi mbona double standard sana.

Waliwafanyia interview watu ili kuwapa kazi sasa kama walikuwa hawana hela za kuwalipa hao maafisa wangetangaza ajira za kujitolea kuonyesha uzalendo.

Ingefaa zaidi uzalendo waanze wabunge na mawaziri wasilipwe posho ili haki itendeke.

Hawa watu nawaonea huruma sana maana watakuwa kama machinga watasugua sori za viatu .
 
Tz ni nchi ambayo viongozi wengi hutamka neno uzalendo ,ila kihaliasi wenyewe hata maana yake hawajui,
Mfano Makinda Kama kasema kweli hivyo ,Kama yeye ni mzalendo mbona kafika na li v8 si angekuja na daladala au bodaboda kuonyesha uzalendo, juzi makam wa rais kalitaja neno uzalendo Mara kibao, lakini je yeye maisha yake anauiahi huo uzalendo?
Uzalendo ukufa na Mwl nyerere,
 
Wenz
Wenzio washalipwa mpunga.
 
Hizo kauli ndo zitaharibu zoezi zima la sensa,

Vinginevyo waahirishe ili hela ipatikane.
 
Mimi nadhan Kuna Kaz za serikali zinahitaji uzalendo hata Kama unalipwa.Unaweza ulipwe pesa nyng ila Kama unaifany hyo kazi bila moyo wakupenda unaweza kuharibu.
Makinda kusema hvy hamaanish watu hawatalipwa,maana yake nikwamba watu wasifanye Kaz kwa kuwa inapesa Bali wafanye kwa moyo mkuu(uzalendo).

NB: Niliomba hii kazi nikakosa ila nawatakia waliopata kufanikisha vzr zoezi hili muhimu.
 
Hakuna Cha uzalendo,we unafiki ile KAZI bure Kuna mtu angijokeza ? Hata wewe usingeomba, na ukitaka kuwapata wazalendo inatakiwa KAZI zote matangazo yawe hivyo ,
 
hakuna kazi ya bure, watoe pesa waache ukanjanja
 
Kazi za ubunge ingekuwa ni kujitolea kwa kigezo cha uzalendo basi hakuna ambae angechukua fomu kugombea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…