Monica Mgeni
Member
- Oct 7, 2021
- 82
- 134
Kauli ya mama Anna Makinda kamisaa wa sensa amesema Maombi ya Ukarani wa sensa Ni Bure na tumeishatoa mwongozo na watu wanaomba kuwa makarani wa Sensa kwa maendeleo ya Taifa letu Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fact.Kwahiyo hiyo mwenye stationary anaekufanyia hiyo kazi ya kudown/upload MB anatoa wapi? Wazee wa muhuri watapigaje?
Hela za hizo huduma utatoa ila hili zoezi ni bure
Wapigie jamaaa mpaka wa pokeeJamni mnisaidie changamoto ya upatikanaji wa password,Manake lila nikiapply wanasema nishaapply