Anna Makinda


Uko kama jina lako, haya tueleze wewe basi umeshagundua dawa ngapi mpaka leo au umevumbua nini?
 
I cant imgine being on her top!!!!

Ah mkuu si unamfunika tu na mfuko ule was kaki wa karatasi ambao unautoboa tundu kidogo ili aheme then mzee una-dowload mzigo kama kawa!!
 
Huyu mama jamani mi nampenda sijui nifanyaje ili nimmiliki she's very very very beutifuly i luv her from botton of heart
 
utajiri wa maskin wa ni maumbile japo mkuu wa kaya katisha
 
Uko kama jina lako, haya tueleze wewe basi umeshagundua dawa ngapi mpaka leo au umevumbua nini?

Mimi ndiye ninaye hakiki kama jua linachomoza mashariki na kuzama magharibi kila siku...na hiyo sio kazi ndogo aise.
 
Anna makinda ameshawahi kuolewa?
 
kuuliza habari za kuoa au kuolewa na kuwa na watoto ni kuingilia masuala binafsi ya mtu tena ya siri/faragha, it is against human rights!! LOL



Hapa tunamzungumzia kiongozi wa mhimili wa nchi(bunge).kwa wadhifa wake tunatakiwa tumjue yeye na familia yake.
Angekuwa mtumishi Wa kawaida wa serikali haina haja sana ila kwa nafasi ya speaker hapana,lazima tujue.
 
Mwacheni mama yetu apumzike..kuweni na adabu....fikirieni kama mama zenu wakifanyiwa hivi mtajisikiaje?msijifanye hamna akili...
 
Ngojeni sheria mpya isainiwe l upango kutawahusu
 
Hivi Anna Makinda ameolewa? Anna watoto?

Yes Ana mtoto mmoja anakaa USA .Alizaliwa 1975 na baba ake ni MZEE mpangala Yule wa CCM alifariki.Na alimzaa kwenye ujana tu .Aneitumikia serikali ya Tanzania kwa miaka 52 sasa .
 
Yes Ana mtoto mmoja anakaa USA .Alizaliwa 1975 na baba ake ni MZEE mpangala Yule wa CCM alifariki.Na alimzaa kwenye ujana tu .Aneitumikia serikali ya Tanzania kwa miaka 52 sasa .

Anaitwa nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…