Napendaga wigi lake!!
Heheh hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napendaga wigi lake!!
wanafanya nn nnje ya nchi???
Hapa mada ni kuhusu spika kuwa au kutokuwa na mtoto...na ndicho nilichocomment mimi....kwamba ni utashi wake binafsi....na ndio nikatoa mfano wa Oprah, asivyowanyima Wamarekani wenzie usingizi, coz wanaheshimu na kuelewa nini maana ya maisha binafsi.
Sina tatizo mtu kuja na stori kwamba spika aliiba choclate supermarket, au alimpiga kibao mlinzi wake wa getini...la hasha...ila hili la kuolewa au kutoolewa......kuwa na wa/mtoto au kutokuwa nao....mmmmh......hebu tufanye kazi tumuache mama yetu alale.
Mtoto wa mwenzako ni wako...so hata mimi ni mtoto wake.
I cant imgine being on her top!!!!
Uko kama jina lako, haya tueleze wewe basi umeshagundua dawa ngapi mpaka leo au umevumbua nini?
kuuliza habari za kuoa au kuolewa na kuwa na watoto ni kuingilia masuala binafsi ya mtu tena ya siri/faragha, it is against human rights!! LOL
Hilo ni swali au mada? Kama ni mada unataka tuchangie kuhusu nn maana kama suala la kuwa na watoto au kuolewa hamuwezi kumjadili mtu humu hz ni haki zake na chaguo lake ktk maisha yake. Ila kama ni swali bs linalenga katika kujua nn zaidi ya alivyo?. Ninavyofahamu mm hy siyo mada haina miguu wala kichwa. Lakini pia hata kama hana watoto bs watoto wake ni cc kwani ni spika wa bunge letu la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Hapa mada ni kuhusu spika kuwa au kutokuwa na mtoto...na ndicho nilichocomment mimi....kwamba ni utashi wake binafsi....na ndio nikatoa mfano wa Oprah, asivyowanyima Wamarekani wenzie usingizi, coz wanaheshimu na kuelewa nini maana ya maisha binafsi.
Sina tatizo mtu kuja na stori kwamba spika aliiba choclate supermarket, au alimpiga kibao mlinzi wake wa getini...la hasha...ila hili la kuolewa au kutoolewa......kuwa na wa/mtoto au kutokuwa nao....mmmmh......hebu tufanye kazi tumuache mama yetu alale.
Mtoto wa mwenzako ni wako...so hata mimi ni mtoto wake.
Hivi Anna Makinda ameolewa? Anna watoto?
Yes Ana mtoto mmoja anakaa USA .Alizaliwa 1975 na baba ake ni MZEE mpangala Yule wa CCM alifariki.Na alimzaa kwenye ujana tu .Aneitumikia serikali ya Tanzania kwa miaka 52 sasa .