Anna Mghwira: Tuendeleze mjadala wa Mikopo ya Elimu ya Juu na tuchukue hatua

Wazo liendelee hata kama mama sahivi ni mkuu wa mkoa wa k/njaro
 
hongera mama kwa wazo zuri kma lingeskka kwa wakuu lkatekelezwa ingekuwa vzur zaid
 
SAFI SANA MAMA YANGU MPENDWA, NA MIMI NILIPATWA NA JANGA HILO NIMESAIDIWA NA MWANAMKE, SASA NINA DEGREE YANGU SAFI, NAWAPENDA SANA WANAWAKE WOTE.
 
Kapewa uongozi sasa.
 
Unaweza kujiamini na kujitangaza wewe ni mtabiri. Yule RC uzuri hatakua ameiba wazo. Litakua lake. Kongole kwake.
 
Haahaaaa usishtuke mwanangu, bado nipo nilikuja kwenye report ya makinikia
 
Hili wazo utekelezaji wake siuoni. AU NI KUJADILI TU. hivi ni vikao vya manyani . msitucheke matako yatapokuwa mekundu.
 
Huyu familia ya bshiete,ccm b hana uhalali wala haki ya kusema chochote tena,kwani ni tabia mbaya ukiwa msaliti na kuongea wakati wakula tena mbaya zaidi chakula kiko kinywani siyo ustaarabu kabisaa.
Anyamaze kimya atuache wenye hofu ya Mungu,tuwasemee wenzetu na kujisemea not u and ua all family.
 
asante mama yetu kwa kulijua maana lilikuwa kimya kiasi cha kutaka kusahaulika maisha tunayoishi anajua mola tumeunga ndo tupo hapa mwaka wa kwanza umeisha hatujui hatujui hatima yetu kuendelea mwaka wa pili wengi wetuuu asanteeeeeee
 
]
Kaonanene na Polepole Lumumba kupata mikopo
 

Ni kweli kipindi cha mwalimu yalifanyika hayo unayosema, tena kwa mafanikio makubwa sana. Ukiangalia hali ya sasa kiujumla, kuna maswali mengi unatakiwa ujiulize kabla ya kulinganisha maisha ya sasa na ya kipindi cha mwalimu. Je, vipi uwiano wa rasimali na idadi ya watuukoje? hali ya hewa ikoje? tulikuwa na mashirika mangapi ya umma yaliyokuwa hai na yenye tija kwenye uchumi? (Kumbuka kuwa Tanzania ilikuwa ya pili Afrika nyuma ya Msumbiji (1000)kwa kuwa na mashirika ya umma 400 ambayo yalikuwa productive in 1980s); Je, sera za biashara za kimataifa zikoje kwa sasa tofauti na kipindi cha mwalimu? Vipi kuhusu sera na sheria tulizo nazo juu ya usimamizi wa rasimali zetu?

Ni ukweli usiopingika kuwa tulipaswa kuwa pazuri zaidi, ila tumekwamishwa na mipango yetu isiyothibitika na kudumu hata kuona matunda yake, pia sheria, sera, na mikataba yetu/zetu ni kitanzi kingine kwa maendeleo ya taifa letu.
 
Hii kwa wahenga tunaitaga prison break yaani ni game juu game...
Kweli hakuna anayependa kuonekana mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…