Anna Mghwira
R I P
- Mar 9, 2012
- 206
- 362
- Thread starter
- #141
QUOTE="kerubi afunikaye, post: 20021372, member: 144421"]Mama wazo lako zuri,tunashukuru maana sie wengine tunaosomesha hadi wadogo zetu kwa kweli awamu hii imekuwa mzigo mzito.
Mtu una vijana wawili wote wako chuo,no mkopo,yaani hadi kichwa kinauma.
Kuna jambo moja nimekutana nalo wakati nahangaika na mdogo wangu mmoja,hebu tusaidie kulifikisha huko ngazi za juu walifikirie upya.
Nakumbuka wakati akiweka jiwe la msingi la hosteli mpya UDSM,mh,Rais Magufuli alisema ni wakati wa vyuo vya serikali kuchukua idadi ya wanafunzi sawa na capacity yake,kwa kuwa vimekuwa vinachukua wanafunzi wachache tofauti na uwezo wake,matokeo yake wanafunzi wengi huenda vyuo binafsi ambavyo vimekuwa vingi bila sababu za msingi.
Katika masuala aliyowahi kuyasema Magufuli,hili lilinigusa sana.
Naomba ukipata nafasi uende kwa Rais ukamkumbushe kuhusu hilo,vyuo vya serikali viongeze udahili wa wanafunzi,ili watoto wengi wasome huko hata kama ni kwa kujilipia,walau ada za vyuo vya serikali ni nafuu.
Hili litazamwe hasa kwenye zile kozi vipaumbele vya taifa,vyuo vya govt vichukue watu wengi.Kozi kama za tiba,it's better wengi wakasoma huko maana ni expensive sana,ni nyeti sana,na wanahitajika sana wataalamu hao.
Mama unahamasisha vijana wa mitaani wajiendeleze vyuoni,uko sahihi,ila katika kuwapa moyo,tungepunguza masharti magumu kwao.Na wao wapewe mikopo,na wadahiliwe na vyuo vya serikali,maana sasa hivi vyuo hivyo havichukui vijana wanaojiendeleza ambao walimaliza zamani.Vinachukua from 2015 kuja mbele nadhani.Sasa mtu anajisomesha mwenyewe,hapewi mkopo,halafu analazimishwa akasome vyuo binafsi vyenye ada kubwa ilhali vyuo vya govt bado vina nafasi?ni bora angeruhusiwa kusoma govt institutions lakini kwa kujilipia,au hata na kozi fulani nyeti iwe hivyo ili kuwahamasisha vijana kusoma huko.[/QUOTE]
Kwelikabisa, hata mimi nilifanyahivyo zamani. lakni mtoto aliyefika miaka 18 ni vizuri apate mkopo unaomfaa na kumpa fursa ya kujifunza kujitegemea. La sivyo inaharibu tabia za watoto wategemezi kuwanyonya wazazi bila sababu ya msingi. Kwa hiyo mkopo una faida nyingi na elimu pana ya maisha. Tuchange sisi, tuwape fursa viajana kujifunza kuitegemea licha ya ada na mahitaji mengine.
Mtu una vijana wawili wote wako chuo,no mkopo,yaani hadi kichwa kinauma.
Kuna jambo moja nimekutana nalo wakati nahangaika na mdogo wangu mmoja,hebu tusaidie kulifikisha huko ngazi za juu walifikirie upya.
Nakumbuka wakati akiweka jiwe la msingi la hosteli mpya UDSM,mh,Rais Magufuli alisema ni wakati wa vyuo vya serikali kuchukua idadi ya wanafunzi sawa na capacity yake,kwa kuwa vimekuwa vinachukua wanafunzi wachache tofauti na uwezo wake,matokeo yake wanafunzi wengi huenda vyuo binafsi ambavyo vimekuwa vingi bila sababu za msingi.
Katika masuala aliyowahi kuyasema Magufuli,hili lilinigusa sana.
Naomba ukipata nafasi uende kwa Rais ukamkumbushe kuhusu hilo,vyuo vya serikali viongeze udahili wa wanafunzi,ili watoto wengi wasome huko hata kama ni kwa kujilipia,walau ada za vyuo vya serikali ni nafuu.
Hili litazamwe hasa kwenye zile kozi vipaumbele vya taifa,vyuo vya govt vichukue watu wengi.Kozi kama za tiba,it's better wengi wakasoma huko maana ni expensive sana,ni nyeti sana,na wanahitajika sana wataalamu hao.
Mama unahamasisha vijana wa mitaani wajiendeleze vyuoni,uko sahihi,ila katika kuwapa moyo,tungepunguza masharti magumu kwao.Na wao wapewe mikopo,na wadahiliwe na vyuo vya serikali,maana sasa hivi vyuo hivyo havichukui vijana wanaojiendeleza ambao walimaliza zamani.Vinachukua from 2015 kuja mbele nadhani.Sasa mtu anajisomesha mwenyewe,hapewi mkopo,halafu analazimishwa akasome vyuo binafsi vyenye ada kubwa ilhali vyuo vya govt bado vina nafasi?ni bora angeruhusiwa kusoma govt institutions lakini kwa kujilipia,au hata na kozi fulani nyeti iwe hivyo ili kuwahamasisha vijana kusoma huko.[/QUOTE]
Kwelikabisa, hata mimi nilifanyahivyo zamani. lakni mtoto aliyefika miaka 18 ni vizuri apate mkopo unaomfaa na kumpa fursa ya kujifunza kujitegemea. La sivyo inaharibu tabia za watoto wategemezi kuwanyonya wazazi bila sababu ya msingi. Kwa hiyo mkopo una faida nyingi na elimu pana ya maisha. Tuchange sisi, tuwape fursa viajana kujifunza kuitegemea licha ya ada na mahitaji mengine.