Kwanini hatutumii mapato ya gesi,mafuta kusomesha watoto,nchi hii inapesa nyingi sana,escrow walokomba 320billioni,pesa ya bodi ya mkopo itoke bandarini iende kwenye akaunti ya bodi moja kwa moja,tukipunguza ukubwa wa serikali,tuuwe wizara moja,watumishi wake wote wastaafishwe,tufanye kama sekta binafsi,kampuni ikifa,unachukua chako unasepa,
Mkoa mmoja ufe,viongozi wake wastaafishwe wore,kuanzia mkurugenzi,mpaka mkuu wa mkoa,
Pesa yote iliyokuwa inaperekwa huko,iende kwenye mfuko wa bodi ya mikopo,
Na hii ifanyike kila mwaka,vijana,Dada zetu,kaka zetu,wadogo zetu watasoma kwa raha