Anne Kilango Malecela 'afunguka'!

K-Boko

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
697
Reaction score
218
Anapinga Watanzania walio nje kushikirishwa katika kura za maoni ya Katiba Mpya. Anasema Bungeni jioni hii kwamba logistics za kuwezesha zoezi hilo kufanyika dunia nzima ni gumu au haliwezekani coz Watanzania wametapakaa kila kona ya dunia ikiwemo Afghanistan!!
 
hii thread haikupata mchangiaji lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…