Anne Kilango Malecela: Kuna mkanganyiko kwenye suala la kodi ya majengo. Ieleweke anayelipa ni nani

Anne Kilango Malecela: Kuna mkanganyiko kwenye suala la kodi ya majengo. Ieleweke anayelipa ni nani

Hii elimu ya shahada zao za masters na PhD huwa wanaipataje lakini!?!!

Hivi ni Vyuo vyetu, Na hii ni elimu yetu.
Kwani kodi ya jengo unadhani inakusanywa kwa mtindo upi sasa hivi? Huwa analipa mwenye jengo au mtumiaji wa jengo? Tunalalamika sana. Pathetic.
 
1. Kama mbunge alipaswa aseme na kupendekeza nini kifanyike. Kusema tu waende wakaangalie kwa sababu mitaani halieleweki. Sijui anataka wakaangalie nini sasa maana wao ndiyo wameshaliangalia na kuja na utaratibu huo...

2. Ukweli ni kuwa kwa namna lilivyoletwa na litakavyotekelezwa (kama halitafanyiwa mabadiliko), hii haiwezi kuwa KODI YA MAJENGO bali ni bora iitwe KODI YA LUKU yaani kila mwenye LUKU ya umeme...

3. Ni kwa sababu, siyo kila LUKU YA UMEME imewekwa kwenye Jengo. Kuna watu wana LUKU na wameziweka kwenye miti Mf. Mafundi seremala, mashine za kupasua mbao nk nk

4. Aidha huko vijijini kuna LUKU zimewekwa kwenye nyumba za nyasi na matembe (zilizoezekwa kwa miti na udongo). Hawa kuwalipisha kodi ya Jengo siyo sawa hata kidogo tena kwa kiwango sawa na mwenyewe nyumba ya thamani ya Tshs. 300,000,000...!!
Je majengo ya serikali na taasisi za dini zitalipia? Itabidi kuiangalia sheria pia na exemptions zilizopitishwa huko nyuma vinginevyo ni mfumo rahisi na wa uhakika ukusanyaji kodi za majengo. Serikali ikitumia indirect tax ni effective zaidi. Wakati wa Nyerere zilitumika sana.
 
Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango Malecela, ametaka suala la kulipa kodi kwenye majengo kuangaliwa vizuri akisema, "Mkaliangalie vizuri huko mtaani. Tusidanganyane, kuna mkanganyiko!"

Ameshauri jambo hilo kuwekwa vizuri kwa Wananchi na kueleweka anayelipa Kodi hiyo ni nani kati ya mwenye nyumba na mpangaji badala ya kusema ulipaji kodi umekuwa rahisi.
Kwani mmiliki wa nyumba na LUKU ni nani?
 
... zimewekwa categories sio just kulipa kwa kuwa una Luku.
HUJANIELEWA:

1. Ukisema "zimewekwa ktk categories" ina maana kila mwenye LUKU analipa no matter yuko kwenye category gani..

2. Hiyo siyo hoja yangu. Ya kwangu mimi;

å Isiitwe KODI YA JENGO bali iitwe KODI YA LUKU. Why? Kwa sbb, siyo kila LUKU iko kwenye Jengo
å Sipingi kulipwa kwa kodi hii. Shida iko kwenye njia inayotumiwa kulipa kodi hiyo ambayo kuna hatari ya kulipwa na wasio wamiliki wa majengo hayo..
å Itafutwe mechanism nyingine ya kukusanya kodi hii na isiwe kupitia LUKU. Kinachotakiwa ni kwa serikali kuhakikisha inarasimisha majengo yote na kuwatambua wamiliki wake...
 
Hii elimu ya shahada zao za masters na PhD huwa wanaipataje lakini!?!!

Hivi ni Vyuo vyetu, Na hii ni elimu yetu.
Waziri wa fedha inaitaji mtu mwenye experience ya kazi iliyotukuka kwenye fani za uchumi na fedha ,sasa huyu waziri aliopo hana sifa ,ni sawa na kumpa mchumi wa PhD ya uchumi kutoka chuoni uwaziri huku hana experience ya kazi kama mchumi achilia mbali ngazi ya uongozi
 
HUJANIELEWA:

1. Ukisema "zimewekwa ktk categories" ina maana kila mwenye LUKU analipa no matter yuko kwenye category gani..

2. Hiyo siyo hoja yangu. Ya kwangu mimi;

å Isiitwe KODI YA JENGO bali iitwe KODI YA LUKU. Why? Kwa sbb, siyo kila LUKU iko kwenye Jengo
å Sipingi kulipwa kwa kodi hii. Shida iko kwenye njia inayotumiwa kulipa kodi hiyo ambayo kuna hatari ya kulipwa na wasio wamiliki wa majengo hayo..
å Itafutwe mechanism nyingine ya kukusanya kodi hii na isiwe kupitia LUKU. Kinachotakiwa ni kwa serikali kuhakikisha inarasimisha majengo yote na kuwatambua wamiliki wake...
... sio kweli. Unaweza kuwekwa kwenye category ya kulipia TZS 0.00/=. Hayo mengine yalishajadiliwa sana previously; niishie hapa.
 
Waziri wa fedha inaitaji mtu mwenye experience ya kazi iliyotukuka kwenye fani za uchumi na fedha ,sasa huyu waziri aliopo hana sifa ,ni sawa na kumpa mchumi wa PhD ya uchumi kutoka chuoni uwaziri huku hana experience ya kazi kama mchumi achilia mbali ngazi ya uongozi
... Mwigulu, PhD amewahi kuwa Naibu Waziri kwenye wizara hiyo hiyo ya fedha. Jaribu kukumbuka.
 
... sio kweli. Unaweza kuwekwa kwenye category ya kulipia TZS 0.00/=. Hayo mengine yalishajadiliwa sana previously; niishie hapa.
No, usiishie hapo. Tuendelee kujadiliana tu mpaka kila mtu aelewe

Kumbuka hapa tunajadiliana kuhusu "KODI YA MAJENGO". Ukisema kuna kuwekwa kwenye " category 0.00", maana yake nini sasa? Kwamba huyo ana jengo lisilostahili kulipiwa kodi au? Na, je unajua kuwa kuna majengo hayajaunganishwa na umeme wa TANESCO? Je, hao hawastahili kulipa kodi?

Tuishauri serikali itafute namna bora ya kulipisha watu kodi hii. Hakuna anayepinga kulipa kodi hii. Ila inatakiwa kodi ilipwe kwa haki kwa kuzingatia vigezo vya majengo yanayolipishwa. Ndiyo maana inaitwa KODI YA JENGO.

Kulipa kodi kupitia LUKU siyo sahihi...!!
 
1. Kama mbunge alipaswa aseme na kupendekeza nini kifanyike. Kusema tu waende wakaangalie kwa sababu mitaani halieleweki. Sijui anataka wakaangalie nini sasa maana wao ndiyo wameshaliangalia na kuja na utaratibu huo...

2. Ukweli ni kuwa kwa namna lilivyoletwa na litakavyotekelezwa (kama halitafanyiwa mabadiliko), hii haiwezi kuwa KODI YA MAJENGO bali ni bora iitwe KODI YA LUKU yaani kila mwenye LUKU ya umeme...

3. Ni kwa sababu, siyo kila LUKU YA UMEME imewekwa kwenye Jengo. Kuna watu wana LUKU na wameziweka kwenye miti Mf. Mafundi seremala, mashine za kupasua mbao nk nk

4. Aidha huko vijijini kuna LUKU zimewekwa kwenye nyumba za nyasi na matembe (zilizoezekwa kwa miti na udongo). Hawa kuwalipisha kodi ya Jengo siyo sawa hata kidogo tena kwa kiwango sawa na mwenyewe nyumba ya thamani ya Tshs. 300,000,000...!!
unaakili nyingi kama mama yangu Nyangarambe, mungu akupe maisha marefu.
 
Kwani kodi ya jengo unadhani inakusanywa kwa mtindo upi sasa hivi? Huwa analipa mwenye jengo au mtumiaji wa jengo? Tunalalamika sana. Pathetic.

Sio kulalamika sana anayetakiwa kulipa kodi ya jengo ni nani? Jibu swali?
 
Sio kulalamika sana anayetakiwa kulipa kodi ya jengo ni nani? Jibu swali?
Kama nimepanga jengo lako utanilipia bili za maji, umeme, kuzoa taka, kodi ya jengo? Kuna vitu huwezi practise. Sasa hivi WT ya rent ukienda kuomba tax clearence TRA hawakutumi uje na mwenye nyumba, wanakuambia lipa kodi kisha kamalizane na mwenye nyumba. Mwenye nyumba naye anakuambia kodi yangu ni Tsh fulani ww hiyo nyiongeza angalia la kufanya.
 
Halafu mmiliki wa jengo anayefanya biashara ya kupangisha analipa kodi gani?
Kodi ya biashara inatokana na faida, kodi ya jengo si kodi ya biashara ni kodi ya huduma. Kama mwenye nyumba anafanyabiashara(Real estate) alitakiwa akakadiriwe PIT huko tra na akupe risiti ya efd. Kama anafanya kama kampuni atalipa corparte tax na utapewa risiti.

Sasa hivi WT ya rent ukienda kuomba tax clearence TRA hawakutumi uje na mwenye nyumba alipe kodi, wanakuambia lipa kodi kisha kamalizane na mwenye nyumba. Mwenye nyumba nae anajibu moja tu. Nyumba yangu kodi ni milioni, hayo mengine malizana nao.
 
Back
Top Bottom