Mdau Br. Qadhi, maelezo yako nadhifu.
Kumfananisha thinker Muhammad Yunus na wachumia tumboni akina Mwandosya na Mwakembe et al, ni kumtusi kwa herufi kubwa Dr.Yunus.
Nilishatoa rai kwamba Tz haihitaji wabunge wala wanasiasa, sababu ninazo japo nyingine sitaziweka wazi kwa sababu fulanifulani. In stead nilishauri ni vyema wataalam wa huko mawilayani wawe empowered ktk mifumo ya taarifa (IT), sera na ujuzi..wangeweza kufanya kazi bora zaidi ya kuwakilisha mawazo na matatizo ya wananchi kuliko mchezo wa kuigiza unaofanywa na watu kati - wabunge, kwa gahrama ya juu, ambao hata hivyo HAWANA TECHNICAL KNOWHOW..bali kazi kujitiatia tu wengine hata kuumba hati hawajui.
Way forward kwa nchi yetu kupiga hatua ni kuondoa taratibu INFLUENCE YA SIASA na mwisho kufikia taifa ambalo linaendeshwa na mifumo ya kufikia maamuzi na sio kufanya maamuzi.