Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
- Thread starter
-
- #261
Tukasema wanatwambia tuna wivuAngalia na mjengo wa prof mabalawa pale mwenge inapojengwa stand mpya ya dala dala. Jengo la umma limesimama kwa ukosefu wa fedha ila leo mtumishi wa umma linaenda kwa kasi ya ajabu. Ndio maana hawataki katiba mpya waendelee kutuibia na kunufaika
Mm nafikiri wewe ndiyo mvivu wa kufikiria! Unaongea jumlajumla na kutaja cc ya makonda hapa! Ijulikane hapa kwamba hizo nafasi zote alizoshika ni za umma! Hoja ni je mtumishi wa umma alipataje ukwasi wote huo???Watanzania ni wambea mno. Kuhoji maumiz ya 900m kwa mtu kama ANNA MAKINDA ni uvivu wa kufikiri. Amekuwa bungeni kwa miaka 40, toka 1975-2015 kupitia u RC, Viti maakum, kuchaguliwa.
Amekuwa mwenyekiti wa bunge na mjumbe wa PAC.
Amekuwa mkuu wa mkoa miaka 5.
Amekuwa waziri kwa mihula 3
Amekuwa naibu speakea 5yrs
Amekuwa speaker 5yrs.
Amekuwa mjumbe wa bodi mbalimbali kama NBC, TRC, TES, AUDITORS. LEGAL CORPS, TEXTILE COMPANIES, n.k
Chaman amekuwa mjumbe wa mkutano mkuu na halmashauri kuu 35yrs kamati kuu zaidi ya miaka 15, amekuwa kiongozi wa jumuia xa vijana na wazazi kwa miaka kadhaa
Ni mstaafu anakula pension kiulain na sijajua marekebisho za mafao ya viongozi kama yalimgusa speaker ninachokumbuka rais akistaafu mbali ya lump sum ataendelea kupata 80% ya mshahara wa rais aliyepo madarakan.
Hapo hatujaangalia kawekeza kiasi gani.
Kama hakuna scandal yoyote ya ufisadi hakuna mantiki kuhofia 900
Kwani ukiwa kiongozi wa serikali hutakiwa kumiliki pesa? Acha wivu wewe mama Grace. Naona umemic MayombiHamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Mtumishi wa kawaida kwa kipindi hiki siyo jambo la kushangaza sana kumukuta ana hela Billion moja ila ni la kujivunia kidogo. Ni jambo la kushangaza kumkuta tuseme ana Billion 10. Billion moja sasa hivi ni hela ya kawaida tu hata mimi ukinipa muda huu wala hainistuiHamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Pato rasmi la mbunge ni zaidi 1000ml kwa muhula 1 wa ubunge. Makinda amekaa mihula 8 bungeni. Hapo hujaongeza pato la uspika, unaibu spika, uwaziri, ukuu wa mkoa nadhalika. Sasa hapo unaanzaje kushangaa 900ml.Mm nafikiri wewe ndiyo mvivu wa kufikiria! Unaongea jumlajumla na kutaja cc ya makonda hapa! Ijulikane hapa kwamba hizo nafasi zote alizoshika ni za umma! Hoja ni je mtumishi wa umma alipataje ukwasi wote huo???
Ukikopa unatakiwa kulipa, sio luzuku. Hakuna shirika la umma Tanzania linaweza mlipa mkurugenzi zaidi ya 5m kwa kikao. Usiwazuie takukuru kuingia kazini.Umbea. Ujumbe wake wa bodi mbalimbali unaweza kumpatia hizo hela. Na ukumbuke huyo ni
Mfanyakazi wa siku nyingi serikalini kwa vyeo vya juu hivyo unaweza kuta alikuwa ana save au kakopa.
Naunga mkono hojaUmbea. Ujumbe wake wa bodi mbalimbali unaweza kumpatia hizo hela. Na ukumbuke huyo ni
Mfanyakazi wa siku nyingi serikalini kwa vyeo vya juu hivyo unaweza kuta alikuwa ana save au kakopa.
Utajiri wa ufisadi ni kitu kibaya kuliko.UMASKINI ni kitu kibaya sana,
Huyo mama hela hiyo kukosa ni ujinga,anayo na anakopesheka.Hiyo nyumba amewanunulia wajukuu, Anna umri umeshaenda!
Hao wote Makinda kaweka mpunga hapo.hataki ajulikane kazi inaendelea.Superfeo yuko Mwamba Omari Msigwa,Felician Msigwa na Msigwa mwingine.Hiyo ya Makinda kumiliki superfeo labda utuletee Memarts tuone share.Superfeo ni brand ya akina Msigwa
Sio kwa ulimwengu huuHao wote Makinda kaweka mpunga hapo.hataki ajulikane kazi inaendelea.
Hivi unaposema "uzalendo mkubwa" unakiwa una maaana gani mkubwa???? naomba kuelimishwa kidogo!!
Hakika πNakubaliana na wewe...Mama Makinda hawezi kuwa fisadi....wasemeni wengine lakini siyo huyu Mama wa watu...
π³π€£π€£Ukishaona mtu naandika lugha hizo na Tanzania Kwanza sijui nini, kwanza jua ni kada, pili wengi wanakuwa wakujipendekeza sana.
πAlikua Mtumishi wetu miaka zaidi 30 !!..alawekeza fedha yake kwenye biashara!!..Unataka awe omba omba!!..Mwacheni ale mema ya Nchi...