Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Isitoshe Binti ake ambae ni mtoto ake pekee wa kumzaa iyo $400.000(900M TZS ,kwa kazi anayo fanya USA ashindwi mnunulia mama ake nyumba.Pia nikiangalia sioni nini kinampekea yeye kwa sasa kununua Nyumba kwa sababu ana shida ya kuwa na nyumba nyingine kwa sasa
 
huyo mama ana channel nyingi sana za kipato, pia mafao yake katika ngazi mbali mbali za uongozi, hakuwa mtumiaji wa kuonekanaa sasa muda umewadia wa kujifunua matumizi

ata hii huenda amecheza step vibaya taarifa zikavujaa
Pale Sinza Africa sana ile barabara inenda kutokea kijitonyama si ilifungwa kisa kuna ghorofa la huyo lilikuwa linajengwa?

Niliambiwa mwenyewe ataamia pale Sinza kuishi hapo sasa sijui kama kahamia.
 
Magufuli mwenyewe hatujui 1.5 trillion alizipeleka wapi mpaka leo na hukusema kitu. Ila imeona hizo mil 900 ni kubwa sana
 
Hao wajukuu amewatoa wapi huku Makinda hana mtoto wa kuzaa,labda wajukuu wa ndugu zake.
Unamjua vizuri? una hakika na hili unalomsemea?? Mama Makinda ana mtoto (Binti wa Kumzaa mmoja ) na pia anakaa na watoto wa dada na wadogo zake.Binti ake Jina lake linaanzia na J Spika mimi namfahamu toka Tunakaa nae maeneo ya Seaview Upanga akiwa Waziri wa Wizara ya Wanawake na Watoto.Those Days watoto waliokuwa kwake We where friends and mara nyingi tulikuwa tunashinda kwake during the weekends watching Movies and Recorded CNN news Bulletins from VHS Tapes borrowed at EMPIRE MOVIE THEATER VIDEO LIBRARY Karibu na Mavuno House Posta mpya
 
Hivi unaposema "uzalendo mkubwa" unakiwa una maaana gani mkubwa???? naomba kuelimishwa kidogo!!
 
Hivi unaposema "uzalendo mkubwa" unakiwa una maaana gani mkubwa???? naomba kuelimishwa kidogo!!
Uzalendo haujalishi kuwa kiongozi ama laa....

Ila......

Kuwa katika utumishi mkubwa wa kutumikia maslahi ya watanzania kwa muda mrefu....ukiutoa muda wako ,akili ,na nguvu huku ukiwa muadilifu si jambo dogo tofauti nami uzalendo wangu hauna kipimo kikubwa zaidi ya KULITII TAIFA LANGU ,KULIPA KODI NA KUUZA KAHAWA HAPA KIJIWENI KWANGU MAJOHE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…