Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Angalia picha ya kuchanganya udongo wa muungano nasikia yeye ndo kashika vifaa. Kama alikwisha ingia kwenye connection kipindi hicho mpaka leo ana connection unategemea akose mamilioni? Mi naliona kama mfano wa kuigwa tujifunze kuwekeza badala ya kuendekeza anasa la sivyo tutawapachika watu dhambi wasizokuwa nazo. Na angekuwa kabila fulani uzi ungesema Makinda ana akili ya kutafuta pesa.
 
Kuhusu hilo la milioni 900 sina ushahidi nalo.....

Ila.....

Mh.mama Anna Makinda ameanza kuwa mtumishi wa umma toka miaka ya nyuma na MSICHOKIJUA ni kuwa mh.Makinda ni MBANA MATUMIZI KWELIKWELI.....na mwekezaji wa KILIMO ,na vibiashara vingi vidogovidogo toka miaka ya 90......kwa hulka na tabia zake hizo sishangai akiweza kununua NYUMBA YA GHARAMA KUBWA KIDOGO..........

My take:

Tupende kuutafuta ukweli kabla ya KUWACHAFUA WAZEE WETU....WAMELITUMIKIA TAIFA HILI KWA UZALENDO MKUBWA....WAACHWE WAPUMZIKE...

#SiempreJMT
#NchiKwanza

Mbana matumizi kweli kweli
 
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Huku kwetu hali iko hivi


 
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Yaani tangu aseme kuwa atakuwa wa mwisho kuamini Mbowe ni gaidi mmeanza kumshambulia!

Mwacheni!
Mbona JK hamumsemi?
 
Assuming amepangiwa kuishi miaka 77 Kama isemavyo BIBLIA , atakaa humo ndani kwa muda gani?
Hiyo hela angewasaidia watoto wanaoteseka kwenye vituo vya kulelea watoto si njia yake ya Mbinguni ingekua tambarare.....
Asking for a friend. Huyu mama ndio mmiliki wa mabasi ya SUPER FEO?
Jana nimeona Super feo mpya zaidi ya sita Miembe sana kibaha
 
Kuhusu hilo la milioni 900 sina ushahidi nalo.....

Ila.....

Mh.mama Anna Makinda ameanza kuwa mtumishi wa umma toka miaka ya nyuma na MSICHOKIJUA ni kuwa mh.Makinda ni MBANA MATUMIZI KWELIKWELI.....na mwekezaji wa KILIMO ,na vibiashara vingi vidogovidogo toka miaka ya 90......kwa hulka na tabia zake hizo sishangai akiweza kununua NYUMBA YA GHARAMA KUBWA KIDOGO..........

My take:

Tupende kuutafuta ukweli kabla ya KUWACHAFUA WAZEE WETU....WAMELITUMIKIA TAIFA HILI KWA UZALENDO MKUBWA....WAACHWE WAPUMZIKE...

#SiempreJMT
#NchiKwanza
Kwani mtoa mada hajui kwamba viongozi wa ccm ndio wanaofaidi keki ya nchi hii?!
 
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Chini ya ccm usitegemee uzalendo.
 
Unamjua vizuri? una hakika na hili unalomsemea?? Mama Makinda ana mtoto (Binti wa Kumzaa mmoja ) na pia anakaa na watoto wa dada na wadogo zake.Binti ake Jina lake linaanzia na J Spika mimi namfahamu toka Tunakaa nae maeneo ya Seaview Upanga akiwa Waziri wa Wizara ya Wanawake na Watoto.Those Days watoto waliokuwa kwake We where friends and mara nyingi tulikuwa tunashinda kwake during the weekends watching Movies and Recorded CNN news Bulletins from VHS Tapes borrowed at EMPIRE MOVIE THEATER VIDEO LIBRARY Karibu na Mavuno House Posta mpya
Sasa mbona unaogopa kumtaja huyo mtoto?
 
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Ungeanza kutujuza ameanza kupata uteuzi akiwa na mikaka mingapi serikalini, then jumlisha Ubunge na miaka yote aliyoshika nyadhifa mvalimbali. Hivyo ni vijipesa!
 
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Mama aliwekeza kwenye kilimo na ufugaji huyo,
Plus kiinua mgongo cchake, na isitoshe ana kopesheka kwenye taasisi za fedha kulingana na Mali alizonazo
 
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Bila picha ya nyumba na ukumbi itakuwa ni majumgu. Weka picha zake na documents za manunuzi au umiliki.
 
Mukopo kwenye mabenki hawakopeshi,!?Jibu hapo kwanza!
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasi
 
Makinda anakaribia miaka 90 kwa umri sasa hayo majumba ya nini?
Unaonekana ukipewa madaraka utazika kizazi chako cha sasa na vijavyo kwa sababu kauli yako hii inaonyesha unaubinafisi wa kupindukia kiasi cha kuwa na husuda dhidi ya uendelevu wa utu.

Nalazimika kukuombea kwa Mungu ili uwaze na kutenda sustainably!!!
 
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Hiyo pesa kiduchu sana kwa mtu aliyekuwa Spika wa bunge,
 
Back
Top Bottom