Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.

670388A1-C36E-498A-A7FA-27144003009E.jpeg


B9341FEE-0A53-40F0-8256-B701D7683F17.jpeg
 
Unafikiri mpaka jeshi la polisi linavunja katiba kulinda hawa watawala ni burebure tu? Hicho ndiyo kinacholindwa....wewe kula tozo tu ndugu yangu
 
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Awali ya yote hebu rekebisha au sahihi hilo neno la kwanza! Ni SPEAKER ?? Au SPIKA! kuendana na lugha uliyotumia! Au ndio ulidhani uko ukumbi wa muziki!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu hilo la milioni 900 sina ushahidi nalo.....

Ila.....

Mh.mama Anna Makinda ameanza kuwa mtumishi wa umma toka miaka ya nyuma na MSICHOKIJUA ni kuwa mh.Makinda ni MBANA MATUMIZI KWELIKWELI.....na mwekezaji wa KILIMO ,na vibiashara vingi vidogovidogo toka miaka ya 90......kwa hulka na tabia zake hizo sishangai akiweza kununua NYUMBA YA GHARAMA KUBWA KIDOGO..........

My take:

Tupende kuutafuta ukweli kabla ya KUWACHAFUA WAZEE WETU....WAMELITUMIKIA TAIFA HILI KWA UZALENDO MKUBWA....WAACHWE WAPUMZIKE...

#SiempreJMT
#NchiKwanza
Anabana sana matumizi, akitumia sana hela ujue kanunua wigi au kashonea weaving
 
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Umasikini wa roho ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania wengi wenye roho za kimasikini!. Wakiona tuu mtu anakitu, lazima waingie wivu na kuanza kuhoji kapata wapi utajiri!. TZS Milioni 900 ni pesa ndogo sana kwa mtu aliyelitumikia taifa kwa uadilifu maisha yake yote, ila hata wewe, kama una dhamana ya kueleweka, na una business plan ya ukweli, unakwenda kukopa bank 1. B na unapata kesho yake tuu, tatizo liko wapi?.

Viongozi wengi wa serikali waliokopeshwa nyumba za serikali, wamezitumia nyumba hizo kama dhamana, wameandika michanganuo ya kueleweka, wakakopeshwa na benki mabilioni, na kufanya investments za maana.
Acha wivu, na wewe get rich, or die trying!.
P
 
Angalia picha ya kuchanganya udongo wa muungano nasikia yeye ndo kashika vifaa. Kama alikwisha ingia kwenye connection kipindi hicho mpaka leo ana connection unategemea akose mamilioni? Mi naliona kama mfano wa kuigwa tujifunze kuwekeza badala ya kuendekeza anasa la sivyo tutawapachika watu dhambi wasizokuwa nazo. Na angekuwa kabila fulani uzi ungesema Makinda ana akili ya kutafuta pesa.
Siyo kweli mkuu, huyo mama kwenye picha za kuchanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar aliwahi kuhojiwa na TBC ni mwalimu mstaafu mwenyeji wa uchagani huko!
 
Umasikini wa roho ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania wengi wenye roho za kimasikini!. Wakiona tuu mtu anakitu, lazima waingie wivu na kuanza kuhoji kapata wapi utajiri!. TZS Milioni 900 ni pesa ndogo sana kwa mtu aliyelitumikia taifa kwa uadilifu maisha yake yote, ila hata wewe, kama una dhamana ya kueleweka, na una business plan ya ukweli, unakwenda kukopa bank 1. B na unapata kesho yake tuu, tatizo liko wapi?.

Viongozi wengi wa serikali waliokopeshwa nyumba za serikali, wamezitumia nyumba hizo kama dhamana, wameandika michanganuo ya kueleweka, wakakopeshwa na benki mabilioni, na kufanya investments za maana.
Acha wivu, na wewe get rich, or die trying!.
P

Mtu anabaki kulaumu maisha yake yote suala la dola 370K , anajiaminisha nchi imeibiwa wakati CAG hajamtaja huyo mtu kua mwizi, kosa akomae aandae empire yake ya kazi yeye busy na majungu, kesho ndio utawasikia ajira hakuna kile hakuna saa nyingine unaona bora viongozi wasilaumiwe maana wanaongoza wajinga
 
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Hongera sana mama makinda
 
Mtoa mada Ni Aina ile ya raia

Ambao Wanaofurahi Sana wakiona watumishi wa serikali Wana maisha magumu mtaani.

Yaan ndo wale,
Ikitokea mfanyakaz wa serikali I akienda kumuazima pesa kidogo, Lazima aje humu KUANZISHA Uzi.
IMG_20210929_175427.jpg
 
Makinda anakaribia miaka 90 kwa umri sasa hayo majumba ya nini?
Sasa nyie kama mtu ashastaafu Uspika na bado mnamchagua kwenye mabodi tena ,kuwa Mwenye kiti au mjumbe wakati vijana wapo, mna tegemea akatae! Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Mkuu tupambane nasisi tupate vya kuacha urithi kwa ndugu zetu na wajukuu zetu..

Wao wakiingilia huku na wewe ingilia huku japo upate hata cha kuanzia, kuendelea kuwanyoshea vidole ni kupoteza muda tu..
 
Mkuu tupambane nasisi tupate vya kuacha urithi kwa ndugu zetu na wajukuu zetu..

Wao wakiingilia huku na wewe ingilia huku japo upate hata cha kuanzia, kuendelea kuwanyoshea vidole ni kupoteza muda tu..
👍
 
Ccm nu Chama Cha Mafisadi, hawa vinuka mkojo humu JF kazi yao ni kuwapigia debe Mafisadi, na hulipwa buku saba tu.
Nawainea huruma sana kina johnthebaptist, USSR, na wenzao
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
 
KATIBA MPYA inaumuhimu sana kuzuia changamoto
 
Siasa za Tanzania huwafanya watu fulani fulani kuwa na Mali nyingi zaidi ya uwezo wao wa kutafuta Mali

Halafu unakuta kwenye masuala ya kutoa maamuzi yawapasayo Maskini Makinda naye anakaa kiti Cha mbele

Kukoma kwa Rushwa hapa kwetu mpaka Maskini nao wangekuwa wanashiriki katika zile zinazoitwa KAMATI au TUME

Sio Mtu ametoka nyumbani kapiga Maji ya Shower ya kuchagua ya Moto au ya baridi halafu useme atafahamu Maskini wanataka nini.
 
Back
Top Bottom