Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Kiinua mgongo Cha Mbunge wa kawaida 250m.kila baada ya miaka 5 je Cha Spika?jumulisha miaka yote alivyokuwa Mbunge.

Mimi tangu nipo s/msingi nilikuwa namsikia huyu mama Mara RC,kweli asiwe na pesa?
👍
 
hivi kumbe ukiwa mtumishi huruhusiwi kumiliki hela mingi?

🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
MATAGA wanatoa connection hapo😁😁😁
AAsnvy.jpg
 
Chama cha mafisadi
Unapenda sana matusi mkuu....

Mafisadi wanajulikana.....wale wanaopeana ubunge wa viti maalum kwa tiketi ya UDUGU ,USHEMEJI ,NA NGONO......ndio maana yule "dada kisauti" akachomoa betri......
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Wanavyoipenda ccm hadi kumwaga damu za wanaowapinga we huwa unadhani wanafanya ujinga?
 
Unapenda sana matusi mkuu....

Mafisadi wanajulikana.....wale wanaopeana ubunge wa viti maalum kwa tiketi ya UDUGU ,USHEMEJI ,NA NGONO......ndio maana yule "dada kisauti" akachomoa betri......
Ungekuwa unatumia angalau robo ya akili zako usingegusia habari za wabunge.

Maana ndani ya ccm kuna watu wameingia na familia zao kuanzia watoto,mama na wajukuu.
 
Unamjua vizuri? una hakika na hili unalomsemea?? Mama Makinda ana mtoto (Binti wa Kumzaa mmoja ) na pia anakaa na watoto wa dada na wadogo zake.Binti ake Jina lake linaanzia na J Spika mimi namfahamu toka Tunakaa nae maeneo ya Seaview Upanga akiwa Waziri wa Wizara ya Wanawake na Watoto.Those Days watoto waliokuwa kwake We where friends and mara nyingi tulikuwa tunashinda kwake during the weekends watching Movies and Recorded CNN news Bulletins from VHS Tapes borrowed at EMPIRE MOVIE THEATER VIDEO LIBRARY Karibu na Mavuno House Posta mpya
Kumbe hajanunua mama kanunua mwanae kingine kumhamisha mtu makazi yake sio kazi ndogo
 
Ungekuwa unatumia angalau robo ya akili zako usingegusia habari za wabunge.

Maana ndani ya ccm kuna watu wameingia na familia zao kuanzia watoto,mama na wajukuu.
Two wrongs does not make one right....

Sasa credibility ya kuwanyooshea kidole CCM bungeni inatokaje huko "mliko"?!!! Khaaaa 😳😳😳
 
Back
Top Bottom